Umesoma Sheria ya Kanuni za adhabu?Treason wanaoijua kweli au wanaitabiri?
Unajua maana ya uhaini?Umesoma Sheria ya Kanuni za adhabu?
Hii kesi anafungwa jela kabisaTuna DPP mjinga sn, uchaguzi upi hapo umetajwa wa TFF au CHADEMA? hovyo kabisa japo baadae atafuta hakuna la maana
Kwani akifungwa wewe na mumeo mkabaki kuna shida?Hii kesi anafungwa jela kabisa
Kwa kilaza kama wewe na wenzio ni kweli mnaona hivyo maana hamna akiliHilo kosa kubwa sana, lazima afungwe
Ninazo, hapo kuna ingredients zote za criminal offence plus mens reaKwa kilaza kama wewe na wenzio ni kweli mnaona hivyo maana hamna akili
Utasubiri sana hafungwi mtu hapaHilo kosa kubwa sana, lazima afungwe
Angalau akaemo, anaweza kupata fursa ya kupata vitu vya poroshenko akajipumzikie ubelejiUtasubiri sana hafungwi mtu hapa