Elections 2010 Hili Ndilo Neno La Mama Salma

Narudia tena swali.Vijana wangapi wamefika chuo kikuu kutoka shule hizo hizo mnazozipinga kwa sababu zenu???

Mimi bado na doubt uwezo wa huyu jamaa wa ku integrate mambo! JK kaingia madarakani mwaka 2005 na mapango wake na EL wa kuanzisha hivi vituo vya kutilia mimba mabinti na kambi za kudumaza akili za watoto ( wenyewe mnaita SHULE ZA KATA) ulianza mwaka 2006, sasa kwa hesabu rahisi tu bwana ua bibi TandaleOne , kutoka kidato cha kwanza hadi mwaka wa kwanza chuo kikuu inamtaka mwanafunzi kutumia miaka 6, so kama wanafunzi walianza form one katika hizo shule zako mwaka 2006, form four walimaliza 2009, mwaka huu 2010 zao la kwanza la shule za kata ndio wako kidato cha tano (KAMA WAPO!!!),so hii maana yake ni kuwa HAKUNA MWANAFUNZI TOKA SHULE YA KATA ILIYOANZISHWA NA UTAWALA WA JK ALIYOKO CHUO KIKUU!
 
Tandaleebu fuatilia ufaulu wa hao watu kitaifa,alafu tumia mda wa kutosha website ya wizara ya Elimu na ile ya NECTA ukipata majibu utuletee apa JF.
Najua ukiyaska mwenyewe majibu tutaelewana zaidi
 
Fuatilia utajua kama kweli unataka kujua aliwahi kutembelea au la.Wanafunzi wangapi wameenda form 5 na 6 kutoka shule za kata???Jiulize hilo swali.Acha ubinafsi.Kama si hizo shule wangekuwa wapi???Hakuna msomi makini asiyejua mapigano ya nchi masikini kutoka katika umasikini wake hupitia nyakati zipi.Nyakati za maopportunists na manabii wa uongo wa kisiasa ambao wanatupa mema yote na kusimama kusema mabaya kwa nguvu zao zote.Ila umma makini huwatambua.

Hivi huyu mama mbona simwelewagi jamani??? anafanya campaign kwa budget gani na kama nani?? Kwanza labda niulize! Hivi huyu mama ameenda shule kweli!!! Maana huwa naona kama thinking capacity yake ni ndogo sana. empty brain mama!!! She does not deserve this title (1st Lady) am sorry to say this. Say Big NO to his hubby.
 
By the way, shule ni majengo pekee au ni muungano wa majengo, wanafunzi, walimu, vifaa vya kufundishia na samani? Huyu jamaa inaonekana hakutaka kabisa kujifunza kutoka kwa Mkapa wakati anatekeleza MMEM, kwa sababu mwenzake pamoja na kuongeza udahili wa wanafunzi almost kwa asilimia 100, bado hakukuwa na shida kubwa ya walimu na vifaa vya kufundishia kama ambavyo imekuwa kwake. Nina wasiwasi na aina ya watu anaowahutubia. Manake katika hali ya kawaida, hotuba kama hii inapaswa kuwa na maswali kibao.

Shule moja wanafunzi 1000 mwalimu mmoja!!

ZINDUKAAAAAAA
 
Hivi huyu mama mbona simwelewagi jamani??? anafanya campaign kwa budget gani na kama nani?? Kwanza labda niulize! Hivi huyu mama ameenda shule kweli!!! Maana huwa naona kama thinking capacity yake ni ndogo sana. empty brain mama!!! She does not deserve this title (1st Lady) am sorry to say this. Say Big NO to his hubby.

Umeshajulikana tatizo lako.Huyu mama ni mwalimu by profession na aliowanfundisha wanamfahamu.By that time sidhani kama ulikuwa unajua kutumia computer.
 
Mimi bado na doubt uwezo wa huyu jamaa wa ku integrate mambo! JK kaingia madarakani mwaka 2005 na mapango wake na EL wa kuanzisha hivi vituo vya kutilia mimba mabinti na kambi za kudumaza akili za watoto ( wenyewe mnaita SHULE ZA KATA) ulianza mwaka 2006, sasa kwa hesabu rahisi tu bwana ua bibi TandaleOne , kutoka kidato cha kwanza hadi mwaka wa kwanza chuo kikuu inamtaka mwanafunzi kutumia miaka 6, so kama wanafunzi walianza form one katika hizo shule zako mwaka 2006, form four walimaliza 2009, mwaka huu 2010 zao la kwanza la shule za kata ndio wako kidato cha tano (KAMA WAPO!!!),so hii maana yake ni kuwa HAKUNA MWANAFUNZI TOKA SHULE YA KATA ILIYOANZISHWA NA UTAWALA WA JK ALIYOKO CHUO KIKUU!

Kijijin kwetu zipo ambazo tayari zilikuwa zimeanza.2005 ni tamko tu but mpango ulikuwa umeshaanza.Akili zinakuruka??
 
Wewe ndio zuzu kabisa hata hujui kuwa mama yako alifundisha Mugabe halafu ndio akahamia Mbuyuni baada ya kustukiwa mambo flani na Babu Seya...

Mbona umetaja Mugabe peke yake?Twisting au?Ujumbe umefika.Glory be to God.Amani inatawala na itaendelea kutawala.We don't need a small group of people to use the government's weaknesses to fool people that they can make it all good.Imekula kwenu.Lia nikuone:becky:
 
Kijijin kwetu zipo ambazo tayari zilikuwa zimeanza.2005 ni tamko tu but mpango ulikuwa umeshaanza.Akili zinakuruka??
Sawa tuseme ni kweli kijijini kwenu zilianza 2005, JK ameingia ikulu December 2005 baada ya uchaguzi wa October 2005, so hizo ambazo zilikuwa zimeanza kijijini kwenu sio zao la JK bali la BM! Then kwa hesabu ile ile ya miaka 6 kuanzia form one hadi mwaka wa kwanza wa chuo kikuu basi hizo shule zilizokuwa zimeanza 2005, zao lake la kwanza ndio wamemaliza kidato cha sita mwaka huu, so wanasubiri majibu ya kujiunga na vyuo vikuu hapo November 2010, kwa maana hiyo bado ni pale pale HAKUNA WANAFUNZI WALIOTOKA SHULE ZA KATA WALIOKO VYUO VIKUU! THINK MAN! THINK DONT BE BLINDED BY YOUR PASSION TO CCM!
 
Sawa tuseme ni kweli kijijini kwenu zilianza 2005, JK ameingia ikulu December 2005 baada ya uchaguzi wa October 2005, so hizo ambazo zilikuwa zimeanza kijijini kwenu sio zao la JK bali la BM! Then kwa hesabu ile ile ya miaka 6 kuanzia form one hadi mwaka wa kwanza wa chuo kikuu basi hizo shule zilizokuwa zimeanza 2005, zao lake la kwanza ndio wamemaliza kidato cha sita mwaka huu, so wanasubiri majibu ya kujiunga na vyuo vikuu hapo November 2010, kwa maana hiyo bado ni pale pale HAKUNA WANAFUNZI WALIOTOKA SHULE ZA KATA WALIOKO VYUO VIKUU! THINK MAN! THINK DONT BE BLINDED BY YOUR PASSION TO CCM!


Who made them sail through mpaka leo?????????????????????????????????????????
 
[

Takwimu ya waliofanya mtiahani Form SIX 2010 kutoka NECTA hii hapa:


Kama kujiandikisha Form I-IV umefikia 1.5mil sasa inakuwaje wanaomaliza Form VI hawafiki hata 100,000?

u gat a point?? kuna uongo hapo, au na yeye anpewa takwimu za uongo kama mume wake??????????[/QUOTE]


Hivi honestly yeye unahitaji hata kumdanganya!!!??? maana hata kujua sidhani kama anajua ukweli na uongo ni upi... yeye ni kusoma tu alicho andikiwa ... kasuku ana afadhali!!!!!
 
Ndugu yangu Tandale one, hizo shule JK kazijenga lini na hao waliosoma wamefika UDSM lini? Umeshauona huo mpango wa MMES wenyewe, plan yake na implementation yake? Umeshasoma evaluation report ya hiyo MMES? Be careful my friend jaribu kuongea kwa Data.

MMES ni mpango wa Mkapa wa mwaka 2004, wakati huu mipango ilikuwa ni kuongeza shule kidogo kidogo kila mwaka kulingana na uwezo wa serikali. Shule zilizodahili wanafunzi mwaka 2005 chini ya serikali ya Mkapa, zilikuwa na walimu wa kutosha kiasi na atleast wanafunzi kadhaa waliweza kuendelea na masomo ya A-level kutoka katika hizi shule mwaka 2008. Mwaka 2006/7, ndipo akina Lowassa wakaja na mkakati wa kujenga tu majengo yasiyokuwa na idadi ambayo hayakuendana na uwezo wa serikali kusomesha walimu na kununua vifaa vya kufundishia. Ndipo ikaja idea ya voda fasta, ambayo haikuwa na mafanikio. Wanafunzi wale ambao walisoma katika mfumo wa elimu wa akina Lowasa na Kikwete (kuanzia 2006) ndio hao waliomaliza form four mwaka jana ambao bado hawajafika chuo kikuu.

Sasa wewe unaongelea wanafunzi gani walioko UDSM chini ya MMES ya Lowassa na Kikwete? Au wao wamefuata mfumo gani wa Elimu? Wamemaliza form four na kuingia UDSM?

Achana na huyo Tandale anaupungufu wa akili huyo!!
 
Mbona umetaja Mugabe peke yake?Twisting au?Ujumbe umefika.Glory be to God.Amani inatawala na itaendelea kutawala.We don't need a small group of people to use the government's weaknesses to fool people that they can make it all good.Imekula kwenu.Lia nikuone:becky:

kumbe unajua Serikali yako ni weak, hapa tunawaaamusha watu watoke kwenye weak government
 
Anayependa maendeleo atatambua mafanikio ya serikali-Mama Salma

NA JACQUELINE LIANA, BAGAMOYO

MWENYEKITI wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete, amesema mtu anayependa maendeleo nchini, atatambua mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha miaka mitano ya uongozi wa serikali ya awamu ya nne.

Akizungumza kwa nyakati tofauti na wanawake wa wilaya za Kibaha, Chalinze na Bagamoyo, mkoani Pwani jana {24.8.2010}, alisema mengi yaliyoahidiwa na Chama Cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu wa 2005, yametekelezwa.

Mama Salma Kikwete alisema, katika suala la maendeleo na mustakabali wa nchi, ni lazima wanawake waangalie ni chama gani chenye sera na ilani makini, katika kuwaletea maendeleo yao, na jamii yote ya Watanzania.

Alitaja baadhi ya mafanikio yaliyopatikana katika kipindi hicho kuwa ni ujenzi wa shule za sekondari za kata, zilizoondoa tatizo la watoto wanaofaulu na kushindwa kuendelea sekondari kwa kukosa nafasi.

Mama Salma alisema, ujenzi wa shule za sekondari umeongezeka kutoka 1,745 hadi 4,102 katika kipindi cha miaka mitano, jambo ambalo ni mafanikio makubwa, lakini kuna watu wanaojifanya kutoyaona.

Kutokana na kuongezeka kwa shule hizo, alisema idadi ya wanafunzi nayo imeongezeka ambapo uandikishaji wa kidato cha kwanza hadi cha nne ulitoka kuwa wanafunzi 401,598, mwaka 2005, hadi 1,401,559 mwaka 2009.

Kuhusu miundombinu, alisema ujenzi wa barabara zinazounganisha mikoa na wilaya nchini umewezesha wananchi kusafiri kwa haraka kutoka sehemu moja ya nchi kwenda nyingine, ikilinganishwa na hali ilivyokuwa huko nyuma.

"Zamani ilikuwa kutoka hapa (Kibaha), hadi Lindi tulilazimika kulala njiani, lakini sasa mambo ni mazuri," alisema na kupigiwa kofi.

Alisema, Chama Cha Mapinduzi kimetekeleza ilani yake kwa mafanikio makubwa, na asiye na macho haambiwi tazama, kwani wengine wanaona mafanikio hayo lakini wanajifanya hawaoni," alisema.

Mama Salma aliwaomba kina mama hao kuwachagua wagombea wa Chama Cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 31, mwaka huu katika mtindo maarufu wa CCM wa mafiga matatu.

"Siku ya tarehe 31 mwezi wa kumi, ukifika kituoni piga kura kwa mgombea urais wa CCM, mgombea ubunge wa CCM na mgombea udiwani wa CCM hayo ndiyo mafiga matatu," Alisema.

Akizungumzia kura za maoni za CCM kuwapata wagombea ubunge na udiwani, Mwenyekiti wa WAMA alisema, zilisababisha makundi tofauti kwa sababu wagombea walikuwa ni wengi.

Kwa vile mchakato huo umemalizika na wagombea kupatikana, aliwasihi wanachama wa CCM kuvunja makundi hayo na kuwa na kundi moja la CCM kwa ajili ya kukipatia Chama Cha Mapinduzi ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu ujao.

Kesho, (Agosti 25, 2010) Mama Salma Kikwete ataendelea na ziara ya kuzungumza na wanawake katika wilaya za Kisarawe, Mkuranga na Rufiji, na Agosti 26, 2010 anatarajiwa kuwa Mafia.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx



'Zingatieni masharti mikopo isaidie wengi'

*Ni kauli ya Mama Salma kwa kinamama

God Bless Our Country and protect it from liars,disorganized and crazy people


Kweli inawasaidia UWT tu. Kwa ubaguzi huu akafilie mbali
 
Mbona umetaja Mugabe peke yake?Twisting au?Ujumbe umefika.Glory be to God.Amani inatawala na itaendelea kutawala.We don't need a small group of people to use the government's weaknesses to fool people that they can make it all good.Imekula kwenu.Lia nikuone:becky:

Katatue matatizo ya kwenu Tandale choo mlangoni ndiyo maisha bora kwa kila mtu wa Tandale
 
Who made them sail through mpaka leo?????????????????????????????????????????

They drowned you muppet.....2006 form I....2007 form II....2008 form III...2009 form IV...Results in 2010 with 65% candidates with division 0....you calll this sailing :lol::lol:
 
Back
Top Bottom