wadau tuwe makini maana hata chenge alisema bil 1.2 ni vijisenti kwahiyo hata hizo ni kweli,
mimi naamini hata wakati ule wa epa kuna watu walibisha na wengine hadi leo wanaona ni uwongo wakati ni kweli.
Tufanye mabadiliko ya kweli na tuwe na chama kimoja cha upinzani ili kuhakikisha tunapata uongozi mzuri wa kuwaletea watanzania elimu bora, afya bora, kilimo bora na maisha bora kwa ujumla. Ila haya yote yanatakiwa kwa vitendo na si kwa maneno kama CCM inavyofanya.
Tukiunge mkono chadema hasa ukiwa kijana maana wazee wengi ndo kama hivyo wametufikisha hapa tulipo ukiacha wachache wanaopigana kufa na kupona hadi leo.
peoples power