Hili lina ukweli asilimia 100% kuhusu wanawake

Hili lina ukweli asilimia 100% kuhusu wanawake

......kuna ukweli ndani yake, friend of mine alikuwa na mpenzi anayependa kumsifia kwamba kapendeza.....na wakati hampi chochote. Na shost kuomba alikuwa hajui kabisa.
Ila yule mwanaume alikuwa bahili hatari!!

Mwishoni shost akaja kumbwaga mpenzi bahili baada ya kumpata mtoaji.....ambaye sasa ni mume wake na wana 3 kids.
 
naona maisha ya kijamii yakiporomoka kwa kasi hapo tanzania hasa dar es salaam, inachangiiwa na hu ulimbukeni wa mitandao, ulio intergrated kwenye umaskini, ni tatizo coz utakuta sasa vijana wa kiume wanatanguliza hela mbele na material things unnecessarily kuliko hata natural love mwishoe ni kuishi maisha fake kushidwa kuweka akili chini na kutegeneza base za maisha kijana anafanya kazi badala a kutenenez base ya maisha, carrier na maendele anafiiria kuhonga mademu...na at the end of the day inazaliwa jamii ambayo watu wapo UNHAPPY AND UNSATISFIED, vijana waliofell in many aspects, half backed men....mfano unaona hata kwa wasanii..wameendekeza maisha ya kuhongana lkn hakuna hata mmoja mwenye maisha yaliyotulia yanayoeleweka...angalia wema, kajala, peny, anti, shilole lulu nk...ni watu wanaosikitisha wamefeli kijamii kwasababu ya kutegemea maisha ya kuhogwaa na kushidwa kuweka base ya maisha halisi socially and economically...

ila hapa kunielwa ni kazi maana kunabadhi ya vijamaa hapa vinafundishwa namna na kuhonga na kubuy ideas...ndo jamii ya vijana wakitanzania inayozalishwa

Shikamoo umefunika asiyetaka m direct kwangu
 
Kuna mwanafalsafa mmoja huwa napenda kusoma vitabu vyake,vijana tunashindwa kujitambua,naomba mpitie hii falsafa moja ya maisha.

nimeikubali hiyo falsafa vibaya mno...ina ukweli asilimia nyingi...ila ni jamii za kiafrica tu lakini jamii nyingine za wanawake hasa African American wameanza kubadilika mno...kuna hot discussion kwa maswala mengi ya kijamiii ikiwepo na hilo la kujikwamua kwnye umaskini kwa kushirikiana wote wanaume na wanawake
 
unatumia kinywaji gani??? napenda sana ela coz mi ni mangi ila naogopa sana pesa ya kuhongwa
unajua usiite hela ya kuhogwa ni ela ya kusaidiana na kusaidia...kama love ipo, mwanamke anakuheshimu(au niseme mnaheshimiana), mnamalengo mamoja, mnajikubali each other why not, mbaya ni ile mwanamke kubweteka na kubaki anawinda watu wenye hela tu...
 
unajua usiite hela ya kuhogwa ni ela ya kusaidiana na kusaidia...kama love ipo, mwanamke anakuheshimu(au niseme mnaheshimiana), mnamalengo mamoja, mnajikubali each other why not, mbaya ni ile mwanamke kubweteka na kubaki anawinda watu wenye hela tu...

to me as long as natafuta pia.. i dont give a damn na ela ya my man aisee..
 
to me as long as natafuta pia.. i dont give a damn na ela ya my man aisee..

of coz...sema mambo haya mengi yanatokana na kukosekana ile upendo kutoka moyoni..ila kama kitu upendo kutoka moyoni upo hili la hela wala si shida aise..
 
unatumia kinywaji gani??? napenda sana ela coz mi ni mangi ila naogopa sana pesa ya kuhongwa

hmm.. napenda sana wine. ila inyweke nikiwa na mrembo mmoja katika tight environment, ili likitokea la kutokea, tumalizane kiutu uzima zaidi.
I like sex with beautiful galz.
 
Mwanaume kama pesa ipo na upo au unataka kuwa na msichana unayempenda kiukweli why not provide her?
Hata hautaona kama unaonga utaona kama ni wajibu wako.
Hawa wanao ongea ongea hapa ni either pangu pakavu or hujapata unayempenda ndomana unaona kama unaonga vile.
 
Kuna watu wanahudumia vizur sana wenza wao lakin kuchapiwa kama kawa!Haijalishi kuhonga ndio solution yakutochapiwa.
 
Aisee umenigusa sana kaka! nilimpata manka, mambo yalikua ivyo ivyo mara ya kwanza nlikua mtoaji sana, cause shda yangu ilikua ni kitumbua, alikua akisema baby kichwa kinauma fasta nishafka nampeleka hosp, baby ntakutafuta badae salio limekata saiz, 'fasta nshamrushia extreme ya wik kabisa, na mengine meng etc.

NILIPOPUNGUZA HUDUMA KILICHOFWATIA scrol top to the topic..
 
Back
Top Bottom