sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,276
- 976
Wanaume wenzangu acheni ujinga wenu, hebu tulijadili hili pamoja na wanawake wa humu, kwamba Hakuna mwanamke asiyetaka kuhongwa.Nimelitoa katika blog ya ulimwengu wa vijana.
Acheni ujinga kabisa aisee, ukitaka msichana wa peke yako basi jua kugharamia. Nakwambia wanawake asilimia kubwa hukumbuka fadhila za mtu anayemgharamikia kuliko wanaume wa i love u maneno.Usidanganyike hakuna mwanamke asiyependa kuhongwa, kuna wanawake natural hawawezi kuomba,ila anakua anataka ujiongeze, sasa kama wewe ni wale ambao akikwambia "baby kifurushi kimekata" unajibu "basi mumy please ukiweka nicheki" umekwisha.
Anakueleza shida zake unasema "mpenzi vumilia nakuombea upate kazi" kaka umeishaaa kabisa. Huna chako ujue ulivyokata simu umefatiwa na bonge la msonyo ka sio tusi la nguoni basi la mwilini. Yani wewe kama ni wale wa baby Mwezi huu mambo yangu hayako sawa, nakuapia unagongewa mpaka ujute
Unamuona msichana wako kasuka, kapendeza na hana kazi, we umekazana tu "beibi umependeza" .Yaani wee boya ujue mume mwenzio kaweka nguvu, so anapokua anatoa calendar za kukuona tulizana, service inakua kwa anayehudumia.
Hakuna msichana wa siku hizi anayetaka kuambiwa nakupenda jumapili mpaka jumapili we mhonge tu uone heshima.
Acheni ujinga kabisa aisee, ukitaka msichana wa peke yako basi jua kugharamia. Nakwambia wanawake asilimia kubwa hukumbuka fadhila za mtu anayemgharamikia kuliko wanaume wa i love u maneno.Usidanganyike hakuna mwanamke asiyependa kuhongwa, kuna wanawake natural hawawezi kuomba,ila anakua anataka ujiongeze, sasa kama wewe ni wale ambao akikwambia "baby kifurushi kimekata" unajibu "basi mumy please ukiweka nicheki" umekwisha.
Anakueleza shida zake unasema "mpenzi vumilia nakuombea upate kazi" kaka umeishaaa kabisa. Huna chako ujue ulivyokata simu umefatiwa na bonge la msonyo ka sio tusi la nguoni basi la mwilini. Yani wewe kama ni wale wa baby Mwezi huu mambo yangu hayako sawa, nakuapia unagongewa mpaka ujute
Unamuona msichana wako kasuka, kapendeza na hana kazi, we umekazana tu "beibi umependeza" .Yaani wee boya ujue mume mwenzio kaweka nguvu, so anapokua anatoa calendar za kukuona tulizana, service inakua kwa anayehudumia.
Hakuna msichana wa siku hizi anayetaka kuambiwa nakupenda jumapili mpaka jumapili we mhonge tu uone heshima.