Huyo mdada au mkaka mnakuwa mmefahamiana kabla au baada ya ndoa?Wakuu Hili limekaaje??
Unakuta mtu..... mdada ukishaolewa ndo anatokea jamaa anakupenda
Kuliko mume wako!!!!!
Ama
Mkaka ukishaoa ndo anatokea mdada anakupenda kuliko mke wako???
Hii kitaalam imekaaje??????
Wanawake Wazuri hawaishiii smart mtuliege😁!
Nimeokoka...Wanawake Wazuri hawaishiii smart mtuliege😁!
Sema Wakija weee firimba tu🤭
Jina lako tu mimi Ndo limenichekesha..Wakuu Hili limekaaje??
Unakuta mtu mdada ukishaolewa ndo anatokea jamaa anakupenda
Kuliko mume wako!
Ama
Mkaka ukishaoa ndo anatokea mdada anakupenda kuliko mke wako?
Hii kitaalam imekaaje?
Hii kitaalamu tunaiita Mbuzi kala Mbuzi na hao wakipendana mapenzi yao yananoga balaa anakula vitamu kuliko anavyokula kwa mkewe au kwa mumewe maana anapokea penzihuru bila ya usumbufu wa mawazo ya hapa na paleHii kitaalam imekaaje?
Antonnia wewe hujaokoka?Aminaa praise the Lord!!
Hallelujah 😁
Shetani hafuati mahali ambapo haoni baraka,sasa ameona ndoa anataka kuvuruga, sasa wewe single akufatie nnWakuu Hili limekaaje??
Unakuta mtu mdada ukishaolewa ndo anatokea jamaa anakupenda
Kuliko mume wako!
Ama
Mkaka ukishaoa ndo anatokea mdada anakupenda kuliko mke wako?
Hii kitaalam imekaaje?
Ee bhana,shangaa naweJina lako tu mimi Ndo limenichekesha..
Sasa ushatutukana na unataka tuchangie mada yako🤣🤣
Kwa hio walio Single ndio hawafuatwi na Shetani? mboni Shetani anasingiziwa kila kitu?Shetani anakuwa anafanya kampeni
Walio Single hawafuatwi na Shetani? Ila waliooa na kuolewa ndio wanafuatwa na Shetani? Hii ni Iman au mzigo?Shetani hafuati mahali ambapo haoni baraka,sasa ameona ndoa anataka kuvuruga, sasa wewe single akufatie nn