Notorious_Marcc
JF-Expert Member
- Feb 16, 2024
- 2,599
- 6,128
Wachawi wa mahusiano ya watu hao,, siyo wa kuwa zingatia kabisa........
Shetani mmembebesha mzigo usimuhusu Shetani wala HAUSIKII
Ngoja akija Mama Mchungaji atakwambia wokovu ni nini
Wewe bado una akili za kitoto mno. Unasema kabisa anakupenda kuliko mume wako? Kipimo cha upendo wake unapima na nini? Nyinyi ndiyo mnagawa kama pipi mkidhani mnapendwa kumbe mnagezwa maabara ya kufanyia majaribio. Mtu akija na tamaa zake za ngono na ameshajua wewe ni mke wa tu, hawajibiki kwako kimatumizi, wewe unakenua meno kuwa umepata akupendae kuliko mumeo.Wakuu Hili limekaaje??
Unakuta mtu mdada ukishaolewa ndo anatokea jamaa anakupenda
Kuliko mume wako!
Ama
Mkaka ukishaoa ndo anatokea mdada anakupenda kuliko mke wako?
Hii kitaalam imekaaje?
Wakuu Hili limekaaje??
Unakuta mtu mdada ukishaolewa ndo anatokea jamaa anakupenda kuliko mume wako!
Ama
Mkaka ukishaoa ndo anatokea mdada anakupenda kuliko mke wako?
Hii kitaalam imekaaje?
Mtego hutegwa bure mbele ya ndege awaye wote.Wakuu Hili limekaaje??
Unakuta mtu mdada ukishaolewa ndo anatokea jamaa anakupenda kuliko mume wako!
Ama
Mkaka ukishaoa ndo anatokea mdada anakupenda kuliko mke wako?
Hii kitaalam imekaaje?
FakyuuWakuu Hili limekaaje??
Unakuta mtu mdada ukishaolewa ndo anatokea jamaa anakupenda kuliko mume wako!
Ama
Mkaka ukishaoa ndo anatokea mdada anakupenda kuliko mke wako?
Hii kitaalam imekaaje?
What's wrong with My username???Fakyuol(JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala you all)
Na moderators were there watching it!
Mpaka mtu aandike matusi kwenye comments ndio mumpige barn !
Hamkeni Sasa !
Sasa Mkuu Fakyuol si umetuambia *** yall..Jina linashida Gani?
Shida huend ikawa kweny Ubongo wako