MY LOVE
Senior Member
- Oct 17, 2012
- 161
- 68
Jana nilienda kufanya test ya PSPF pale DUCE post ya compliance officer grade II niliyo yaona sikuamini macho yangu na nilipigwa na butwaa nisijue hatua gani ya kuchukua na mwisho wa siku nikaaamua kumwachia Mungu maana sikutaka kuongeza maadui maishani mwangu.
Ni hivi kwawalio kuwepo watanielewa, nilikaa upande wa majina ya E,F,G NA H na mbele yangu alikaa dada/mama mmoja ambae alikuwa na answer sheet mbili, ila tulizopewa ni moja je hiyo ya pili yeye kaipata wapi? na alizibana pamoja ili mtu asigundue kuwa anazo mbili na nilivyo iyona ilikuwa imeshajazwa kabisa ni swala la kuandika jina na kukusanya tu. Ilinikera sana na kuamini bado kuna tatizo kubwa la kupata ajira kwa haki, kama test zenyewe zinavuja hivyo then utasema washindi wamepatikana kihalali? INGEKUWA WEWE NI MIMI UNGEFANYAJE? JE NINGELILIPUA PALE Holini ingekuwa sawa au ningechafua mazingira? Hata number yake niliishika kabisa na niliporudi home nikaangalia majina na jinalake linaanzia na E.......
Ni hivi kwawalio kuwepo watanielewa, nilikaa upande wa majina ya E,F,G NA H na mbele yangu alikaa dada/mama mmoja ambae alikuwa na answer sheet mbili, ila tulizopewa ni moja je hiyo ya pili yeye kaipata wapi? na alizibana pamoja ili mtu asigundue kuwa anazo mbili na nilivyo iyona ilikuwa imeshajazwa kabisa ni swala la kuandika jina na kukusanya tu. Ilinikera sana na kuamini bado kuna tatizo kubwa la kupata ajira kwa haki, kama test zenyewe zinavuja hivyo then utasema washindi wamepatikana kihalali? INGEKUWA WEWE NI MIMI UNGEFANYAJE? JE NINGELILIPUA PALE Holini ingekuwa sawa au ningechafua mazingira? Hata number yake niliishika kabisa na niliporudi home nikaangalia majina na jinalake linaanzia na E.......