accused
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,496
- 2,745
Leo hii Mh. kigwangala ameifunga mortuary ya hospital ya rufaa Tumbi kwa kua na miundombinu mibovu ikiwamo ya majokofu ya kuhifadhia maiti.
Siku si nyingi Mh. Kigwangala alipita pia hospitali ya Ilembula iliyopo mkoa wa Njombe inayomilikiwa na kanisa la kilutheri. Mortuary ya hospitali hii ipo getini kabisa kiasi kwamba mgonjwa au mtu yoyote anapofika eneo lile mapokezi ni chumba cha kuhifadhia maiti. Kigwangala aliondoka pale bila kusema chchte juu ya hili. Sasa nabaki najiuliza, kwa ninyi wataalamu wa mambo haya pamoja na waziri, Je ni sahihi chumba cha kuhifadhia maiti kikajengwa geti kuu la kuingilia kama pale Ilembula???
Siku si nyingi Mh. Kigwangala alipita pia hospitali ya Ilembula iliyopo mkoa wa Njombe inayomilikiwa na kanisa la kilutheri. Mortuary ya hospitali hii ipo getini kabisa kiasi kwamba mgonjwa au mtu yoyote anapofika eneo lile mapokezi ni chumba cha kuhifadhia maiti. Kigwangala aliondoka pale bila kusema chchte juu ya hili. Sasa nabaki najiuliza, kwa ninyi wataalamu wa mambo haya pamoja na waziri, Je ni sahihi chumba cha kuhifadhia maiti kikajengwa geti kuu la kuingilia kama pale Ilembula???