Hili lililofanyika Kenyatta University likifanyika Vyuo Vikuu vya Tanzania hasa cha Mwenge Ubungo University litapendeza

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,750
109,223
Uongozi wa Chuo Kikuu cha Kenyatta huko nchini Kenya umetengua Shahada ya Uzamivu ( PhD / Doctorate ) ya Mmoja ya Wahadhiri wake ( jina Kapuni ) kwa kuwa kumbe andiko lake la Kiutafiti ( Thesis ) ilikuwa na ‘ Udanganyifu ‘ wenyewe mnaita ‘ Plagiarism ‘ hivyo Kuonekana kuwa hana Hadhi ya kuwa Mhadhiri.

Japo tayari alikuwa ameshakuwa ni Mhadhiri hapo Chuoni na alishahitimu kwa kuitwa Msomi wa PhD lakini Shukran nyingi zimwendee ‘Supervisor ‘ wake Raia wa nchini Nigeria ambapo kuna Siku alikuwa anapitia taarifa za hicho Chuo na Kumuona huyo Mhadhiri ambapo alishangaa sana kwani alikuwa bado anatakiwa ‘ Kurekebisha ‘ hiyo ‘ Thesis ‘ yake kama alivyomuagiza ila huyo Mhadhiri alitumia ‘ Ujanja Ujanja ‘ hadi akahitimu huko Kenyatta University na kuwa Mhadhiri wakati hakuwa bado amekidhi Vigezo.

Hili ni la nchini Kenya ila Mimi An Eagle nina uhakika tena wa 100% kuwa kama na hili likifanyika hapa Tanzania ( hasa kile Chuo cha Mwenge Ubungo University ) hasa tukisema tuwatafute ‘ Supervisors ‘ wa Wahadhiri wao hapo wenye ‘ Doctorates ‘ wengi wao wataonekana kuwa hawana Vigezo vya kuwa Wahadhiri na walihitimu tu ‘ Kimagumashi / Kisamjosamjo ‘ kwani hata huku Mitaani japo wana ‘ PhD’s ‘ zao tukikutana nao huwa ni ‘ Watupu ‘ mno Vichwani.

Kwa ‘ Utafiti ‘ wangu mdogo tu kama kuna Vyuo vikuu ambavyo nikiambiwa kuwa nivitaje na kwamba Wahadhiri wake ni Wasomi wa kweli na ‘ Doctorates ‘ zao walizihangaikia na walistahili kuwa nazo kwani hata Utendaji wao ( Ufundishaji ) wao huko Vyuoni ni mzuri na wenye ‘ Ufanisi ‘ basi ni Vyuo kama vya SAUT Mwanza, Mzumbe University na Tumaini University ila kile Chuo cha Mwenge Ubungo kwa sasa kina Wahadhiri ‘ Vihiyo ‘ wengi kama huyo aliyeng’anywa / aliyepokwa ‘ PhD ‘ yake.

Chanzo Taarifa: Gazeti la Daily Nation la nchini Kenya.
 
Uongozi wa Chuo Kikuu cha Kenyatta huko nchini Kenya umetengua Shahada ya Uzamivu ( PhD / Doctorate ) ya Mmoja ya Wahadhiri wake ( jina Kapuni ) kwa kuwa kumbe andiko lake la Kiutafiti ( Thesis ) ilikuwa na ‘ Udanganyifu ‘ wenyewe mnaita ‘ Plagiarism ‘ hivyo Kuonekana kuwa hana Hadhi ya kuwa Mhadhiri.

Japo tayari alikuwa ameshakuwa ni Mhadhiri hapo Chuoni na alishahitimu kwa kuitwa Msomi wa PhD lakini Shukran nyingi zimwendee ‘Supervisor ‘ wake Raia wa nchini Nigeria ambapo kuna Siku alikuwa anapitia taarifa za hicho Chuo na Kumuona huyo Mhadhiri ambapo alishangaa sana kwani alikuwa bado anatakiwa ‘ Kurekebisha ‘ hiyo ‘ Thesis ‘ yake kama alivyomuagiza ila huyo Mhadhiri alitumia ‘ Ujanja Ujanja ‘ hadi akahitimu huko Kenyatta University na kuwa Mhadhiri wakati hakuwa bado amekidhi Vigezo.

Hili ni la nchini Kenya ila Mimi An Eagle nina uhakika tena wa 100% kuwa kama na hili likifanyika hapa Tanzania ( hasa kile Chuo cha Mwenge Ubungo University ) hasa tukisema tuwatafute ‘ Supervisors ‘ wa Wahadhiri wao hapo wenye ‘ Doctorates ‘ wengi wao wataonekana kuwa hawana Vigezo vya kuwa Wahadhiri na walihitimu tu ‘ Kimagumashi / Kisamjosamjo ‘ kwani hata huku Mitaani japo wana ‘ PhD’s ‘ zao tukikutana nao huwa ni ‘ Watupu ‘ mno Vichwani.

Kwa ‘ Utafiti ‘ wangu mdogo tu kama kuna Vyuo vikuu ambavyo nikiambiwa kuwa nivitaje na kwamba Wahadhiri wake ni Wasomi wa kweli na ‘ Doctorates ‘ zao walizihangaikia na walistahili kuwa nazo kwani hata Utendaji wao ( Ufundishaji ) wao huko Vyuoni ni mzuri na wenye ‘ Ufanisi ‘ basi ni Vyuo kama vya SAUT Mwanza, Mzumbe University na Tumaini University ila kile Chuo cha Mwenge Ubungo kwa sasa kina Wahadhiri ‘ Vihiyo ‘ wengi kama huyo aliyeng’anywa / aliyepokwa ‘ PhD ‘ yake.

Chanzo Taarifa: Gazeti la Daily Nation la nchini Kenya.
Umenikumbusha Ben Saa 8 R.I.P
 
utakuwa una chuki binafsi na hicho chuo cha mwenge ubungo wewe.. yaani saut wawe na walimu clean kuliko chuo kikuu cha Tanzania
 
Umenikumbusha Ben Saa 8 R.I.P

Kwani nae alisomea hapo Mwenge Ubungo University kunakozalishwa ' Goi Goi ' wengi kwa miaka ya hivi karibuni Ndugu? Kwa sasa Vyuo Vikuu vizuri na ambavyo vinatoa ' Vipanga ' kabisa na vina Wahadhiri wa uhakika ambao hata ' Doctorates ' zao si za ' Kupikwa ' kama za huyo Mhadhiri wa Kenyatta University ni Vyuo vya SAUT Mwanza, Mzumbe University na Tumaini University pekee.
 
utakuwa una chuki binafsi na hicho chuo cha mwenge ubungo wewe.. yaani saut wawe na walimu clean kuliko chuo kikuu cha Tanzania

Kuna mahala popote hapa katika ' Thread Content ' yangu nimekitaja Chuo Kikuu chako cha Dar es Salaam Ndugu? Niwekee Ushahidi wako hapa tafadhali.
 
Kuna mahala popote hapa katika ' Thread Content ' yangu nimekitaja Chuo Kikuu chako cha Dar es Salaam Ndugu? Niwekee Ushahidi wako hapa tafadhali.

Mbona unajishtukia wapi nimetaja chuo kikuu cha Dar es salaam, na wewe weka ushahidi
 
Uongozi wa Chuo Kikuu cha Kenyatta huko nchini Kenya umetengua Shahada ya Uzamivu ( PhD / Doctorate ) ya Mmoja ya Wahadhiri wake ( jina Kapuni ) kwa kuwa kumbe andiko lake la Kiutafiti ( Thesis ) ilikuwa na ‘ Udanganyifu ‘ wenyewe mnaita ‘ Plagiarism ‘ hivyo Kuonekana kuwa hana Hadhi ya kuwa Mhadhiri.

Japo tayari alikuwa ameshakuwa ni Mhadhiri hapo Chuoni na alishahitimu kwa kuitwa Msomi wa PhD lakini Shukran nyingi zimwendee ‘Supervisor ‘ wake Raia wa nchini Nigeria ambapo kuna Siku alikuwa anapitia taarifa za hicho Chuo na Kumuona huyo Mhadhiri ambapo alishangaa sana kwani alikuwa bado anatakiwa ‘ Kurekebisha ‘ hiyo ‘ Thesis ‘ yake kama alivyomuagiza ila huyo Mhadhiri alitumia ‘ Ujanja Ujanja ‘ hadi akahitimu huko Kenyatta University na kuwa Mhadhiri wakati hakuwa bado amekidhi Vigezo.

Hili ni la nchini Kenya ila Mimi An Eagle nina uhakika tena wa 100% kuwa kama na hili likifanyika hapa Tanzania ( hasa kile Chuo cha Mwenge Ubungo University ) hasa tukisema tuwatafute ‘ Supervisors ‘ wa Wahadhiri wao hapo wenye ‘ Doctorates ‘ wengi wao wataonekana kuwa hawana Vigezo vya kuwa Wahadhiri na walihitimu tu ‘ Kimagumashi / Kisamjosamjo ‘ kwani hata huku Mitaani japo wana ‘ PhD’s ‘ zao tukikutana nao huwa ni ‘ Watupu ‘ mno Vichwani.

Kwa ‘ Utafiti ‘ wangu mdogo tu kama kuna Vyuo vikuu ambavyo nikiambiwa kuwa nivitaje na kwamba Wahadhiri wake ni Wasomi wa kweli na ‘ Doctorates ‘ zao walizihangaikia na walistahili kuwa nazo kwani hata Utendaji wao ( Ufundishaji ) wao huko Vyuoni ni mzuri na wenye ‘ Ufanisi ‘ basi ni Vyuo kama vya SAUT Mwanza, Mzumbe University na Tumaini University ila kile Chuo cha Mwenge Ubungo kwa sasa kina Wahadhiri ‘ Vihiyo ‘ wengi kama huyo aliyeng’anywa / aliyepokwa ‘ PhD ‘ yake.

Chanzo Taarifa: Gazeti la Daily Nation la nchini Kenya.
SAUT??? aiseee chuo cha kata hicho
 
huyu jamaa anapenda kupigia promo SAUT inaelekea vyuo vingine walimtema.
 
Dr kadeghe ambaye ni mwandishi wa vitabu vingi pia alikuwa mkuu wa wilaya mbozi kipindi cha kikwete aligomewa na udsm kupewa phd mpaka udsm waliposhitakiwa na kuleta maprofesa wa vyuo vingine ambao waliitathimini thesis yake kuwa inaridhisha kupewa phd yake...nmeongeza mfano tunapoelekea kuhitimisha hoja
 
Huyo mhadhiri atakae itafuta ile thesis iliyoondoa uhai wa Ben Saanane atakipata atakachokuwa anakitafuta.
 
Back
Top Bottom