Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Kuna baadhi ya halmashauri zina waamuru wakuu wa idara kusimamia watumishi walio chini yao kulipa pesa ya Mwenge Tsh 1000 - 5000 tena kwa vitisho vikali wakati huo watumish hao wanakatwa kodi lukuki kwenye mishahara yao.
Je wizara ya ajira na kazi pamoja na utumishi mmelibariki hili liendelee kubebwa na watumishi pia?mbona Tanzania watumishi wana nyanyaswa hivi?
Je wizara ya ajira na kazi pamoja na utumishi mmelibariki hili liendelee kubebwa na watumishi pia?mbona Tanzania watumishi wana nyanyaswa hivi?