Leomimi
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 2,547
- 874
Majeshi yaliyokwenda kufanya operation wahamiaji hatamu hawajalipwa posho yoyote serikali mnatakaje au ndio rushwa mnahalalisha wahamiaji haramu watoe rushwa kuwapa police wetu kesho mseme hawakufanya kazi? Mazingira ya kazi ni magumu wanalala kwa tabu kwani nao ni wakimbizi au hatuelewi tafadhali popote ulipo igp mwema mateso sio kazi usalama wa taifa mpo hiko mbona taarifa hazifanyiwi kazi hao police wana hali ngumu sana.