SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
Angalia sasa huyu mwingine. Maskini!
Unajua matatizo ya kulelewa na mama peke yake bila baba ndani ya nyumba ndio haya!
Halafu maskini anakuza kwa shida, elimu hakuna. Malezi ya kukulia mtaani!
Matokeo mtoto anakuwa sio rizki kama huyu!
Mtu anaongelea habari ya benki. Huyu anaongea habari zingine zisizo julikana!!
Ukitaka kumuongelea muhamad! Hapa sio mahala pake!.
Njoo kwenye kurasa hizo. Upigwe msasa kidogo!
Hapa utachafua thread ya watu!.
Njoo huku nakusubiri!
wapi nije nikusugue mbona unaishia hewani