Hili la Mnyika litajibiwaje?

Kiswigo

Member
Aug 9, 2012
56
22
Miongoni mwa hoja alizozitoa Mnyika kuhusu watuhumiwa wa kashfa ya rada, ni kuwafikisha mahakamani wahusika walioisababishia hasara nchi yetu katika sakata la rada. Hii ni kufuatia maelezo ya Waziri Chikawe kwamba hakuna ushahidi kwamba kulikuwa na rushwa.

Kwa vile mashitaka siyo ya rushwa tu, kwa nini isifikiriwe kwamba wale waliohusika kushauri na kufanya maamuzi wachukuliwe hatua za kutumia madaraka vibaya au chochte ambacho DPP ataoma kinafaa, badala ya kufunga milango tu as if hakuna kilichotokea. Tumeshuhudia haya kwa akina Mramba na wenzake, Liyumba na hata Jengo wa Benki Kuu na wenzake.
 
Miongoni mwa hoja alizozitoa Mnyika kuhusu watuhumiwa wa kashfa ya rada, ni kuwafikisha mahakamani wahusika walioisababishia hasara nchi yetu katika sakata la rada. Hii ni kufuatia maelezo ya Waziri Chikawe kwamba hakuna ushahidi kwamba kulikuwa na rushwa.

Kwa vile mashitaka siyo ya rushwa tu, kwa nini isifikiriwe kwamba wale waliohusika kushauri na kufanya maamuzi wachukuliwe hatua za kutumia madaraka vibaya au chochte ambacho DPP ataoma kinafaa, badala ya kufunga milango tu as if hakuna kilichotokea. Tumeshuhudia haya kwa akina Mramba na wenzake, Liyumba na hata Jengo wa Benki Kuu na wenzake.

Hakika heshima ya seriakali hii imewekwa rehani kama wataalam watashindwa kushauri hatua stahiki kwa wahusika hata kama ushahidi wa tuhuma za rushwa haupo. Kufukia jambo hili chini ya busati kutalifanya liibuliwe miaka michache ijayo.
 
Hasa Chikawe amekuwa mwepesi sana kulikanusha hili mpaka unafikiri kwamba ana maslahi binafsi. Huyu jamaa ameamua kufunga ndoa na mafisadi wenzie!
 
Hakika heshima ya seriakali hii imewekwa rehani kama wataalam watashindwa kushauri hatua stahiki kwa wahusika hata kama ushahidi wa tuhuma za rushwa haupo. Kufukia jambo hili chini ya busati kutalifanya liibuliwe miaka michache ijayo.

Tatizo la mambo kama haya ni kwamba wakifikishwa mahakamani, hawa hawa ambao leo wana dhamana watakimbilia mahakamani kuwatolea ushahidi na hapo ndipo ninapochoka.
 
Tatizo la mambo kama haya ni kwamba wakifikishwa mahakamani, hawa hawa ambao leo wana dhamana watakimbilia mahakamani kuwatolea ushahidi na hapo ndipo ninapochoka.

Hivi zile sheria za China huku haziwezi kuletwa? Au tunaogopa kunyimwa misaada? Inakera sana.
 
Kulingana na sheria zetu, mtanzania anayeishi Tanzania akitaka kufungua account nje ya nchi lazima aombe kibali BOT. Kufungua account nje ya nchi bila kibali cha BOT ni kosa la JINAI na adhabu yake ni kifungo cha hadi miaka mitatu JELA. (Ingawa hii sheria ni MBOVU kwa maoni yangu).

I'm sure 100% Chenge wakati anafungia account yake katika kisiwa Jersey hakuomba kibali BOT. Hivyo kama serikali ingekuwa na nia ya kumfunga Chenge ingetumia sheria hiyo kumfunga jela.

Lakini wapi Chenge afungwe? Nchi itayumba! No wonder aliuwa wale wasichana wawili wa MZA, tena akiendesha gari ambalo halina insurance. Ikaja ikagundulika kwamba alijaribu kugushi insurunace kwa ku back date (kugushi ni kosa la JINAI). Unajua adhabu aliyopewa na mahakama? Tanzania kuna watu wapo juu ya SHERIA na mmojawapo ni ANDREW CHENGE MBUNGE WA BARIADI CCM.
 
Kwa hakika Tanzania inahitaji muujiza wa Mwenyeezi Mungu maana hapa tulipofika ni pabaya na sijui kama Mungu atakuja kutunusuru kupata viongozi wenye mapenzi ya dhati na watu na nchi hii na kuwaokoa. Sijui nani alimuumba Lowassa na hawa wenzake. Ooh maskini nchi yangu.
 
Kulingana na sheria zetu, mtanzania anayeishi Tanzania akitaka kufungua account nje ya nchi lazima aombe kibali BOT. Kufungua account nje ya nchi bila kibali cha BOT ni kosa la JINAI na adhabu yake ni kifungo cha hadi miaka mitatu JELA. (Ingawa hii sheria ni MBOVU kwa maoni yangu).

I'm sure 100% Chenge wakati anafungia account yake katika kisiwa Jersey hakuomba kibali BOT. Hivyo kama serikali ingekuwa na nia ya kumfunga Chenge ingetumia sheria hiyo kumfunga jela.

Lakini wapi Chenge afungwe? Nchi itayumba! No wonder aliuwa wale wasichana wawili wa MZA, tena akiendesha gari ambalo halina insurance. Ikaja ikagundulika kwamba alijaribu kugushi insurunace kwa ku back date (kugushi ni kosa la JINAI). Unajua adhabu aliyopewa na mahakama? Tanzania kuna watu wapo juu ya SHERIA na mmojawapo ni ANDREW CHENGE MBUNGE WA BARIADI CCM.

Hili pia laweza kuwa shitaka la pili na nina hakika wabobevu wa sheria wanafahamu mengi kuhusu maeneo yanayoweza kumtia hatiani huyu jamaa na wale washirika wake. Feleshi upo?
 
Sheria ni ya mwaka 1992 na kwa hakika mazingira sasa yamebadilika. Wanahitaji kuiboresha na kuziba mianya au kuipa meno zaidi kama inavyosemwa kwa lugha ya sasa.
 
Mahakamani kwenda kufanya nini? Toka lini kesi ya nyani akapewa ngedere? Kwa maoni yangu hiyo itakuwa ni kupoteza muda kwani kuanzia Mkuu wa kaya mpaka choka mbaya wote wanahusika na ufisadi huu wa rada. Kipeni nafasi kikaango cha 2015 kifanye kazi yake
 
It is not possible simply are they not Tanzanians but they are CCM MP and CCM members mwisho .
 
hivi kama leo hii vita ya ndani tunaishindwa tutaweza ya nje? kama tunashindwa kuwakemea na kuwaadhibu waliotuibia na tunawaona wakitunyanyasa tutaweza kweli kulinda mipaka yetu kikamilifu?sijui?
lakin ushauri wangu kuna aja ya jamii forum ukurasa wa rada uwekwe upya ikiwezekana toka mikataba ilivyokuwa na ukae kwa muda mrefu ili tuendelee kupiga kelele kwa vidole vyetu labda tutapata ufumbuzi. na pia wanasheria acheni uvivu tupeni mazingira ya maana ya kutosha ni kwa vip ihuyu mtu anaweza kushitakiwa ikiwezekana sisi kama jamii tuipeleke kesi mahakamani kama tunaweza kushida.
nimechoka kuangalia gari zao walizopata kwa kututhurumu.
 
Na huko Kisutu Mahalu ameibuka kidedea wakati dunia nzima inajua jamaa aliiba. Halafu mnadai independence ya judiciary ambayo ni incompetent. Aibu kubwa!
 
Miongoni mwa hoja alizozitoa Mnyika kuhusu watuhumiwa wa kashfa ya rada, ni kuwafikisha mahakamani wahusika walioisababishia hasara nchi yetu katika sakata la rada. Hii ni kufuatia maelezo ya Waziri Chikawe kwamba hakuna ushahidi kwamba kulikuwa na rushwa.

Kwa vile mashitaka siyo ya rushwa tu, kwa nini isifikiriwe kwamba wale waliohusika kushauri na kufanya maamuzi wachukuliwe hatua za kutumia madaraka vibaya au chochte ambacho DPP ataoma kinafaa, badala ya kufunga milango tu as if hakuna kilichotokea. Tumeshuhudia haya kwa akina Mramba na wenzake, Liyumba na hata Jengo wa Benki Kuu na wenzake.

chini ya sheria mpy ya kudhibiti na kuapambana na rushwa MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA ni moja ya makosa yaliyooreshwa na kimsingi yanashitakika na adhabu zake zimeainishwa...kinachoendelea ni sarakasi tu..lakini kwa vile haya mambo ni jinai mbeleni tutashuhudia mengi...ofcoz if n only if CCM is not in power
 
Na huko Kisutu Mahalu ameibuka kidedea wakati dunia nzima inajua jamaa aliiba. Halafu mnadai independence ya judiciary ambayo ni incompetent. Aibu kubwa!

Mmojawapo wa mashahidi wakuu upande wa utetezi wa Mahalu alikuwa ni yule yule mzee wa 'uwazi na ukweli' ambaye dakika za mwisho za ukaazi wake pale Magogoni kwa mfugarushwa alijimilikisha mgodi wa umma wa Kiwira. Baada ya wanaharakati kuuvalia njuga huo WIZI akina 'Maisha bora kwa kila Mtanzania' na LIWALO NA LIWE wakamsihi aurejeshe kimya kimya serikalini. Haya sasa peleka hizo kesi Kisutu: pesa ambazo zingeweza kutumika angaa kuwatoa watoto wa shule sakafuni na kuwaweka katika madawati zitaishia kuendesha kesi FEKI.
 
haya yote ni majambazi na yanaiba huku yamevaa suti mchana kweupe na wakati mwingine na viyoyozi vinayapepea, mi ninauhakika haya majambazi ipo siku tutayachoma moto hata kama ni makaburi yao potelea mbali hata kama yatakuwa yalishakufa. naomba Mwenyezi Mungu atujaalie uzima tulitimize siku moja. tujitahidi kuwahamasisha wanavijiji huko waamke, tulipige chini hili li ccm jamaniiii Arrrrrrrrrgggggggggggggghhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nilipatwa na mshtuko siku Benjamin Mkapa alipoenda kutoa ushahidi akimtetea Prof. Mahalu, nilidhani kesi imeishia pale. Kwa yaliyojiri leo nadhani nilipaswa kuamini hisia zangu siku ile.

Mahakama na sheria zetu kwa ujumla ni kwa ajili ya kuumiza wanyonge na kuwafaidisha wakubwa. Kama hapakuwa na ushahidi wa kumtia Prof hatiani why all the fuss? kwanini serikali ilifungua kesi? Kwa gharama ya nani? Kwa faida ya nani?

Huu usanii na uzebe utakoma siku tu ccm wakiwa mojawapo ya vyama vya upinzani nchini Tz.
 
Kulingana na sheria zetu, mtanzania anayeishi Tanzania akitaka kufungua account nje ya nchi lazima aombe kibali BOT. Kufungua account nje ya nchi bila kibali cha BOT ni kosa la JINAI na adhabu yake ni kifungo cha hadi miaka mitatu JELA. (Ingawa hii sheria ni MBOVU kwa maoni yangu).

I'm sure 100% Chenge wakati anafungia account yake katika kisiwa Jersey hakuomba kibali BOT. Hivyo kama serikali ingekuwa na nia ya kumfunga Chenge ingetumia sheria hiyo kumfunga jela.

Lakini wapi Chenge afungwe? Nchi itayumba! No wonder aliuwa wale wasichana wawili wa MZA, tena akiendesha gari ambalo halina insurance. Ikaja ikagundulika kwamba alijaribu kugushi insurunace kwa ku back date (kugushi ni kosa la JINAI). Unajua adhabu aliyopewa na mahakama? Tanzania kuna watu wapo juu ya SHERIA na mmojawapo ni ANDREW CHENGE MBUNGE WA BARIADI CCM.
Unauhakika ni yeye aliyewagonga wale wasichana? au kwa vile yeye alikubali kuuvaa uhusika wa tukio lile? Hii ni Tanzania ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom