Unauhakika ni yeye aliyewagonga wale wasichana? au kwa vile yeye alikubali kuuvaa uhusika wa tukio lile? Hii ni Tanzania ndugu yangu.
Angalau alilipa faini kwa kosa linalofanana na hilo.
Unauhakika ni yeye aliyewagonga wale wasichana? au kwa vile yeye alikubali kuuvaa uhusika wa tukio lile? Hii ni Tanzania ndugu yangu.
Unaelewa kuwa kama katika kesi ile muhusika kamili angesimama yeye mahakamani ingekuwa kesi ya kuua kwa kukusudia?Angalau alilipa faini kwa kosa linalofanana na hilo.