Nuraty J
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 1,729
- 3,829
- Thread starter
- #161
mama yk akiumwa mpeleke pale wakamuwaishe ili upate kulithi pagaleDada nlikuwa nakuona mtu mwenye akili kumbe zero kabisa.
Kwamba hospitali za serikali mnaweza kuuza nyumba kukomboa maiti?. Like seriously? Are you sane?
Naomba nikuulize swali dogo tuu, kwa nini msilipie gharama za matibabu kabla hajapatiwa huduma? Kwa nini msubiri mpaka wakati wa kuruhusiwa au mpaka afariki ndipo muanze kujenga picha ya kulipishwa maiti wakati kiuhalisia mnalipia huduma alizotumia ndugu yenu kabla hajafa?.
Unforgetable