Hili la kupata mimba pamoja na kufanya juhudi hizi kuizuia limekaaje?

Let say siku za hatari unaanza tar24 December, then tar23 usiku ukasex tar24 mchana ukanywa p2 mbili na fragile 2, January ukapima mimba ipo

Hii ikoje wataalamu?

Na je mtoto atakua hana tatizo?

P2 na fragile si ni dawa kali sana hadi zinatoa mimba imekuaje mimba ikatungwa?

Nb: negative comments hazitakiwi
Haya mambo yanategemeana na mwili wa mtu pia.

Kizazi kilikuwa tayari kupokea na kimeshachukua zake mfukoni.

Sasa wakati wewe unameza hizo dawa, mimba ishatungwa zamani!

Ukiona hivyo, ujue hizo dawa za kuzuia zimeshindwa. Hivyo ni mawili tu;
Either uiache ikue au utumie za dawa za kuitoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Flagily inakuwa linked na congenital abnomalities yan mtoto anaweza kuzaliwa akiwa na shida katika maumbili yake. Japo sio 100% achen kutumia flagily kama nyia ya kutoa mimba
 
Pisi kali,
Dada una hatari...siku ya hatari ni tarehe 24 wewe ukafanya tarehe 23 usiku,tena kavu!!🙆🙆

Sifahamu sana kuhusu uzazi lakini nakushauri ujaribu kwenda hospital kufanya USS ili kujua kama kuna tatizo kwa mtoto
 
Kuna watu mna vizazi vya voda fasta. Anyway kama unataka kuitunza hiyo mimba nenda kapige ultra sound mara nyingi ukitumia p2 mimba inaweza ikatungwa nje ya mfuko wa uzazi (fallopian tube). Kama hutaki kuitunza hiyo mimba tafuta misoprostol ila hakikisha unaenda hospitali kusafishwa usije kupata matatizo baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sawa asante dear kwa ushauri
 
Haya mambo yanategemeana na mwili wa mtu pia.

Kizazi kilikuwa tayari kupokea na kimeshachukua zake mfukoni.

Sasa wakati wewe unameza hizo dawa, mimba ishatungwa zamani!

Ukiona hivyo, ujue hizo dawa za kuzuia zimeshindwa. Hivyo ni mawili tu;
Either uiache ikue au utumie za dawa za kuitoa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Naiacha

Tumekubaliana na mwenzangu tulee tu
 
Dada una hatari...siku ya hatari ni tarehe 24 wewe ukafanya tarehe 23 usiku,tena kavu!!

Sifahamu sana kuhusu uzazi lakini nakushauri ujaribu kwenda hospital kufanya USS ili kujua kama kuna tatizo kwa mtoto

Kifo cha nyani miti yote huteleza


Asante kwa ushauri kesho naanza clinic nitafanyia kazi hilo
 
Flagily inakuwa linked na congenital abnomalities yan mtt anaweza kuzaliwa akiwa na shida katika maumbili yake. Japo sio 100% achen kutumia flagily kama nyia ya kutoa mimba

Haya umeeleweka
 
Lakini am sure kama vidonge vimeshindwa kuzuia mimba isitungwe basi hata mtoto atakuwa salama

M pia naamini hivyo Maana kuna wengine si wanakunywa mimba za miezi mitatu na bado inagoma, naamini mwanangu atakua salama tu kwa uwezo wa Mungu
 
Back
Top Bottom