Mh Lissu katika pitapita yake kasema atafuta vitambulisho vya machinga. Hapa amechemka mwambieni Bora aseme ataboresha usimamizi.
Hivi vitambulisho vimewasaifia kuondokana na misako ya maofisa wa TRA na mgambo wa jiji. Kumbuka wengi wa wenye hivi vitambulisho Ni wenye vibanda vidogo mtaji wao haufiki 5m, wauza screpa wauza chupi, vibanda vya mpesa, wachoma chips, mamalishe.
Hawa ndio walikuwa chumaulete wa mabwana afya, afisa biashara, tra mgambo wa jiji, maafisa wa zimamoto, wenyeviti wa mitaa, watendaji kata, Hawa wote walikuwa wakipitisha msako na kuchuma fedha.
Leo hii kijana anauza madela kaweka kitambulisho Cha machinga haguswi, ukivifuta manake waanze kusakwa Tena. Kwahili aliyekuambia useme changanya na za kwako.
Hivi vitambulisho vimewasaifia kuondokana na misako ya maofisa wa TRA na mgambo wa jiji. Kumbuka wengi wa wenye hivi vitambulisho Ni wenye vibanda vidogo mtaji wao haufiki 5m, wauza screpa wauza chupi, vibanda vya mpesa, wachoma chips, mamalishe.
Hawa ndio walikuwa chumaulete wa mabwana afya, afisa biashara, tra mgambo wa jiji, maafisa wa zimamoto, wenyeviti wa mitaa, watendaji kata, Hawa wote walikuwa wakipitisha msako na kuchuma fedha.
Leo hii kijana anauza madela kaweka kitambulisho Cha machinga haguswi, ukivifuta manake waanze kusakwa Tena. Kwahili aliyekuambia useme changanya na za kwako.