Hili la Kenya kutaka Ofisi za UN Entebbe kuhamishiwa Nairobi Kenya, kutuzindue Watanzania juu ya ubinafsi wa Wakenya:

Mzozo huo, unaonyesha ni kwa namna gani Watanzania wanatakiwa kufunguka sana kimitazamo juu ya diplomasia ya Kenya kwamba wao ni wabinafsi waliojaa ego.
HAPANA! Watanzania, hususani walio na mawazo kama wewe ndio wanatakiwa kubadilika kimtizano na kuachana na mawazo ya ujima!

The Kenyans lobbed ili kupata fursa! Hiyo ndiyo leadership!! Unaangalia wapi kuna fursa kisha unaipora! Sio ulimwengu wa kulia lia huu! Hakuna undugu kwenye fursa!

Wakati wewe unaita ubinafsi, mimi naita matumizi sahii ya fursa! Hata ukiwa na demu mzuri; ukiwa boya lazima watu wakupore!

Tubaki undugu kwenye kuongea Kiswahili lakini mengine ni survival for fitness!

Kama Wakenya wamewatwanga Waganda; it's Waganda's responsibility kutafuta ni wapi watawatandika Wakenya na kuwasababishia maumivu makali zaidi!
Ni aibu kwa Kenya kufanya kitendo hicho ukifikiria kuwa Uganda ndiye mteja namba moja wa bidhaa za Kenya huku uchumi wa nchi hizo ukiwa unategemeana kwa kiwango kikubwa.
Unaona sasa! Kumbe you've leverage lakini badala ya kuitumia mnadhani solution ni kulia lia! Nyie watu mbona Nyerere kawaharibu hivi?!
Uganda wamepanga kulipeleka suala kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kupigiwa kura.
Sera za kulia lia kama hizi ingekuwa zinalipa, tayari Tanzania ingeshakuwa tajiri tangu enzi za Baba wa Taifa!

Labda tu niwakumbushe, wakati Uganda wanalilia, the so called Manyang'au hivi sasa watakuwa wana - lobby na mataifa mbalimbali ili kura zipigwe kwa niaba yao!

Utashangaa siku ya siku; miongoni mwa mataifa ambayo hayakupiga kura miongoni mwao ni some EAC Members!
Nadhani chanzo cha mipango hiyo haramu ya Kenya ni kutaka kuikomesha Uganda baada ya mwaka 2016, Uganda kuamua kupitishia bomba la mafuta la Hoima - Tanga nchini Tanzania badala ya Kenya.
Poor Kenyans!! If that's the case then they didn't hit harder enough though kwa kuanzia sio mbaya sana manake inatosha kutuonesha sisi mataifa misukule kwamba opportunity zinatafutwa! Opportunity zinaporwa!! When necessary, unaweza kutumia hata dirty covert plans kupora fursa!
Aidha, mnamo tarehe 4 Mei 2018, akiwa Mjini Nairobi, Rais wa Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki, wa Rwanda, pamoja na Jaji Mkuu wa Kenya, waliunga mkono pendekezo la Kenya kuhamisha Makao Makuu ya Mahakama hiyo kutoka Arusha kwenda Nairobi eti kwa kuwa, Nairobi ndiyo kitovu (hub) cha Afrika Mashariki.

Cha kushangaza ni kwamba, Jaji Mkuu wa Kenya alidai kuwa, hatua ya kuhamisha Makao Makuu kutoka Arusha kwenda Nairobi ina lengo la kusaidia mchakato wa ushirikiano (integration process) kwa faida ya wananchi wa Afrika Mashariki.

Kama Kenya amekosa utu kwa Uganda, je akipata nafasi kwa Tanzania itakuwaje? Je, baada ya kuipata Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki, watataka nini tena?
Kenya kakosa utu au anatumia fursa ya kuzungukwa na mataifa yanayowaza the way walivyokuwa wanawaza akina Mwalimu Nyerere, Milton Obotte, Mzèe Kaunda na wengineo?!

Au kama vipi, train deep cover agents wanao-specialize kwenye wizi tu! Ukiwapata wa kutosha, wapenyeze Bandari ya Mombasa kuhakikisha kila siku Wateja wanaotumia bandari ya Mombasa wanalia!

Ukifanya hivyo, miezi 3 tu Wafanyabiashara bandari wanaikimbia ile!

Wakiikimbia Bandari ya Mombasa I hope you know wataenda wapi; right?!

What about ku-divert destination ya Watalii?! You know how to do it; right?!

Acheni kulia lia! Let's use available resources at our disposal kufanya attempt ya kupora opportunity toka kokote iliko na kama hatuwezi; tuwaache wanaoweza waendelee kutufanya misukule!
 
HAPANA! Watanzania, hususani walio na mawazo kama wewe ndio wanatakiwa kubadilika kimtizano na kuachana na mawazo ya ujima!

The Kenyans lobbed ili kupata fursa! Hiyo ndiyo leadership!! Unaangalia wapi kuna fursa kisha unaipora! Sio ulimwengu wa kulia lia huu! Hakuna undugu kwenye fursa!

Wakati wewe unaita ubinafsi, mimi naita matumizi sahii ya fursa! Hata ukiwa na demu mzuri; ukiwa boya lazima watu wakupore!

Tubaki undugu kwenye kuongea Kiswahili lakini mengine ni survival for fitness!

Kama Wakenya wamewatwanga Waganda; it's Waganda's responsibility kutafuta ni wapi watawatandika Wakenya na kuwasababishia maumivu makali zaidi! Unaona sasa! Kumbe you've leverage lakini badala ya kuitumia mnadhani solution ni kulia lia! Nyie watu mbona Nyerere kawaharibu hivi?!
Sera za kulia lia kama hizi ingekuwa zinalipa, tayari Tanzania ingeshakuwa tajiri tangu enzi za Baba wa Taifa!

Labda tu niwakumbushe, wakati Uganda wanalilia, the so called Manyang'au hivi sasa watakuwa wana - lobby na mataifa mbalimbali ili kura zipigwe kwa niaba yao!

Utashangaa siku ya siku; miongoni mwa mataifa ambayo hayakupiga kura miongoni mwao ni some EAC Members!
Poor Kenyans!! If that's the case then they didn't hit harder enough though kwa kuanzia sio mbaya sana manake inatosha kutuonesha sisi mataifa misukule kwamba opportunity zinatafutwa! Opportunity zinaporwa!! When necessary, unaweza kutumia hata dirty covert plans kupora fursa!
Kenya kakosa utu au anatumia fursa ya kuzungukwa na mataifa yanayowaza the way walivyokuwa wanawaza akina Mwalimu Nyerere, Milton Obotte, Mzèe Kaunda na wengineo?!

Au kama vipi, train deep cover agents wanao-specialize kwenye wizi tu! Ukiwapata wa kutosha, wapenyeze Bandari ya Mombasa kuhakikisha kila siku Wateja wanaotumia bandari ya Mombasa wanalia!

Ukifanya hivyo, miezi 3 tu Wafanyabiashara bandari wanaikimbia ile!

Wakiikimbia Bandari ya Mombasa I hope you know wataenda wapi; right?!

What about ku-divert destination ya Watalii?! You know how to do it; right?!

Acheni kulia lia! Let's use available resources at our disposal kufanya attempt ya kupora opportunity toka kokote iliko na kama hatuwezi; tuwaache wanaoweza waendelee kutufanya misukule!
Kwa mtazamo wako, unamaanisha hatuhitaji hata Jumuiya ya Afrika Mashafiki coz tunawatengezea zaidi Kenya ulaji.
 
Acha kupotosha mkuu un wenyewe ndio walikaa wakajadiliana kuwa wahamishie Nairobi asee wabongo kwa kupotosha hatujambo
We ni mzee wa empiricism!!! Siku ukianza kuwa realistic, utajua kuwa ni hila siyo natural process
 
Hili shirika lao la ndege la KQ ambao wale wa IQ za 100 wanalisifia humu na kunanga ATCL ambayo Mh Rais JPM anahangaikia kulifufua asili yake ni wizi wa ndege za iliyokuwa EAA. Fikiri mwizi wa ndege!!! Inabidi kwenda naye kwa kuchukua kila aina ya tahadhari.
Sure
 
Tangu tarehe 7 Mei 2018, kumekuwepo habari nchini Kenya kuwa, Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni, amemwandikia Katibu Mkuu wa UN, Antonio Gutierrez, kutoridhishwa na kupinga kitendo cha kupendekeza kuhamisha Kituo cha UN kilichopo Entebbe, Uganda kupelekwa Nairobi, Kenya.
Kulingana na the Monitor la Uganda, tayari Bunge limeunda timu ya wabunge kufuatilia suala hilo. Vilevile, FM wa Uganda Sam Kutesa, alikosoa criteria iliyotumiwa na UN kuhamisha kituo hicho na kudai kuwa, UN ilipaswa kusambaza na kugawanya shughuli zake kwa wanachama wake kwa usawa.

Taarifa zinadai kuwa, Kenya kupitia kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Macharia Kamau, aliyekuwa Balozi wa Kudumu wa Kenya UN ndiye aliyehusika na lobbying kuanzia mwaka 2016 akitumia uzoefu wake wa kuwepo UN kwa miaka 25 ambapo aliwasilisha mipango ya Serikali kujenga SGR kutoka Mombasa hadi Nairobi, pamoja na kuanzisha flights za moja kwa moja kutoka Nairobi hadi New York, Marekani, hali iliyowavutia UN kufikiri uamuzi huo.

Kituo hicho kimeajiri watu 420, huku kati yao 285 ni Waganda, hivyo kuhamishwa kwa Kituo hicho kutaondoa ajira za wengi. Vilevile, uwepo wa Kituo hicho uliinufaisha Uganda Dola milioni 1, sawa na bilioni 21 (shilingi za Uganda).
Mzozo huo, unaonyesha ni kwa namna gani Watanzania wanatakiwa kufunguka sana kimitazamo juu ya diplomasia ya Kenya kwamba wao ni wabinafsi waliojaa ego. Hawaamini katika ushirikiano bali katika domination. Ni aibu kwa Kenya kufanya kitendo hicho ukifikiria kuwa Uganda ndiye mteja namba moja wa bidhaa za Kenya huku uchumi wa nchi hizo ukiwa unategemeana kwa kiwango kikubwa. Uganda wamepanga kulipeleka suala kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kupigiwa kura.

"Mwenzako akinyolewa, tia maji."
Nadhani chanzo cha mipango hiyo haramu ya Kenya ni kutaka kuikomesha Uganda baada ya mwaka 2016, Uganda kuamua kupitishia bomba la mafuta la Hoima - Tanga nchini Tanzania badala ya Kenya.

Aidha, mnamo tarehe 4 Mei 2018, akiwa Mjini Nairobi, Rais wa Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki, Emanuel Ushiragebuja wa Rwanda, pamoja na Jaji Mkuu wa Kenya, Kihara Kariuki waliunga mkono pendekezo la Kenya kuhamisha Makao Makuu ya Mahakama hiyo kutoka Arusha kwenda Nairobi eti kwa kuwa, Nairobi ndiyo kitovu (hub) cha Afrika Mashariki.
Cha kushangaza ni kwamba, Jaji Mkuu wa Kenya alidai kuwa, hatua ya kuhamisha Makao Makuu kutoka Arusha kwenda Nairobi ina lengo la kusaidia mchakato wa ushirikiano (integration process) kwa faida ya wananchi wa Afrika Mashariki.
Kama Kenya amekosa utu kwa Uganda, je akipata nafasi kwa Tanzania itakuwaje? Je, baada ya kuipata Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki, watataka nini tena?

Uganda: Museveni Protests to UN Boss Over Dropping of Entebbe as Base.

The International Court AG Wants Moved to Nairobi
Asante sana ndugu kwa kutufumbua macho atleast tunaona how bad kenyan they are in our region....i think wanashida pahara coz they are used to kill some of our company not once but for now let us say ts enought...ukileta janja janja we are janjajanja than you kenyan....
 
Kwa mtazamo wako, unamaanisha hatuhitaji hata Jumuiya ya Afrika Mashafiki coz tunawatengezea zaidi Kenya ulaji.
What?! Who said that?! Hoja ni kwamba, your country first mengine baadae!!

Kama unaweza kupiga fitina ili ofisi ZOTE za UN zilizopo Nairobi zihamie Dar es salaam; do it!!

Kama unaweza kupiga fitina ili airlines zinazotumia Kenyatta Airport ziwe zinatumia Julius Nyerere Intl Airport na KIA; then DO IT!

Kama unaweza kupiga fitina ili Watalii woooote waache kuingia Kenya na badala yake waende Tanzania; DO IT!

Kuwepo Jumuiya ya EA haimaanishi individual country shouldn't grab another country's opportunity!!

Kama, for instance, India ndie largest importer wa chai ya Kenya huku wakinunua 0kg from Tanzania... huwezi kusema Tanzania shouldn't seduce the Indians kununua chai ya Tanzania simply because wao ndio importers wa Kenyan Tea!

That having said; Kenya hawakufanya kosa lolote bali wametumia opportunity ya kuzungukwa na mataifa malofa with expired thinking ability!!

Watanzania tunapenda sana kulia lia kwa sababu tunadhani bado tupo kwenye ujamaa!!
 
Tumezubaa sana. Tumezubaa muda mrefu sana. Wakenya ni oppotunists wazuri sana.

Angalia nchi zote ambazo hazina balozi hapa, mabalizi wapo kenya, yani kenya ina ofisi za ubalozi wa nchi nyingi kuliko Tanzania na Uganda kwa pamoja.

Watanzania tumezubaa sana, jana naona Twitter wanatambua kiswahili, ni kwa jitihada za Wakenya, sisi tumezubaa, wakenya waliwahi kumlipa mrisho mpoto akatangaze kua kiswahili kinatokea kwao na si mahala pengine, alivyo zero brain kweli likasema kiswahili kinatoka kenya.

Tukizubaa sio kosa la wakenya, ni kosa letu. Demu akikuacha sio kosa lake, ni kosa lako wewe na mwingine kaona fursa akamshawishi kutoka kwako.
Kiswahili asili yake ni Lamu ila mimi sijui Lamu ipo nchi gani, nadhani ipo Tanzania, halafu kuhusu UN kuhama, kizuri cha jiuza Kenya ipo vizuri kidemokrasia na kiuchumi, sisi tulie tu
 
Kiswahili asili yake ni Lamu ila mimi sijui Lamu ipo nchi gani, nadhani ipo Tanzania, halafu kuhusu UN kuhama, kizuri cha jiuza Kenya ipo vizuri kidemokrasia na kiuchumi, sisi tulie tu
Acha Uongo! Kasome upya nadharia na chimbuko la kiswahili!
 
Wakenya huwa hawanishughulishi wachukue kila taasisi wasichukue tu ardhi yetu
 
Mimi tayari nishasoma, ni LAMU, sasa na wewe lete nadharia za usomi wako, be professional please
Ok boss.

1. First of all sijui unatoka nchi gani but kwa Tanzania hii kitu ni topic kwa Olevel na pia kwa Alevel bu also kwa Chuo kwa wale wanaosoma kiswahili. So kwa mtu yoyote aliyesoma hizo level nafanya assumption ya kuwa anaelewa nadharia zote za asili na chimbuko ya lugha ya kiswahili.

2. Nadhari zote zina mapungufu yake na strengths. Kwa kusema kinatoka pwani nadhani umechukua nadhari ya kwamba asili ya kiswahili ni pwani ya africa mashariki ambapo moja ya miji inayotajwa ni Lamu, lakini unashindwa kuacknoweledge kwamba Lamu sio mji wa pwani pekee katika africa mashariki. Moja ya quote ya Wikipedia inataja Kilwa(Tanzania) na Lamu (kenya) kama baadhi tu ya miji hiyo.

"Tuna historia jinsi gani miji kama vile Kilwa, Lamu na mingine kadhaa ilianzishwa na wafanyabiashara Waarabu au Wajemi waliooa wenyeji. Idadi ya wahamiaji kutoka Uarabuni haikuwa kubwa sana, hivyo lugha ya wenyeji ilitumika kila mahali ila tu maneno mengi yameingia kutoka Kiarabu. Kwa ujumla Kiswahili kina maneno yenye asili ya Kiarabu kati ya 30-40%, hali inayokaribia kiasi cha maneno yenye asili ya Kilatini au Kifaransa katika lugha ya Kiingereza."

3. Kama nilivyosemwa mwanzo bado hiyo ni "nadharia" na sio "reality" kuna nadharia ingine inasema kuwa kiswahili asili yake ni Kongo.

4. Kwa bahati nzuri haya mambo yapo allover the internet unaweza ukafanya a very small/tiny research ukaelewa haya mambo.
 
Tunapenda kulia lia sana, ujamaa wa mwalimu nyerere umetuharibu sana watanzania, Dunia imebadilika sana, kama Cuba wame surrender sisi ni nani tuendelee kulia lia? Hizi jumuia za kikanda zipo kwa manufaa ya nchi husika, ukiwa lofa wenzako wanachukua kila kitu wakinufaisha watu wao zaidi.
Tuache tuache imani kuwa kwasababu tunaujirani na Kenya watafanya kitu kwa manufaa ya watanzania. Hakuna kitu kama hicho duniani kote. Jiangalie wewe kwanza na watu wako.
 
Back
Top Bottom