Una matumizi nayo huko home auHabari wakuu!
Inakuwaje jino/ meno yangu / yako uyang'olee hospitalini kisha ukatazwe usirudi nalo? Hii ni sheria ya wapi? Na ni kwanini?.
Anaeng'angania kiungo chako cha mwili na yeye nae ni mwanadamu km weww hawezi hata kuumba panzi, sasa kwanini atake kukumiliki viungo vyako pasipo sababu ya msingi?Hata goviz wanabakigi nazoo etii
Don't make a promise you can't fulfill...
Mkuu ulibele upeleke wapiNataka nijue yote kama linabaki hospital mbona waliliweka mwenye chombo la taka? Si bora nilibebe?
Tatizo unajifunza uchawiHivo viungo kubaki huko ni sheria IPI? Na kwanini
Kumbukumbu IPI wakati waliweka kwenye chombo la taka kwanini nisingewapunguzia taka nirudi nalo?Hapa itakuwa ni kwa ajili ya kumbukumbu au Imani potofu,ni vitu viwli tu...