The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,141
- 51,013
Umeanza kuifuatilia Misri lini?Misri bila salah ni sawa n barca bila mess
Umeanza kuifuatilia Misri lini?Misri bila salah ni sawa n barca bila mess
Misri hawako vizuri msimu huu wiki iliyopita alisare na kenyaNakumbuka miaka michache nyuma ilikuja timu ya Comoro hapa ikabezwa sana na tukaelezwa ile nchi haina hata Ligi..
Sasa nimesikia inchi hii imecheza na misri jana na kutoka Sare
Haya ni maajabu,Nini siri ya hawa wangazija?
Nae anapendelea kanda yake, ngoma droooo ..Zamani Misri pamoja na kua na wachezaji wazuri Rais wa CAF aliepita alikua anawabeba sn. Huyu Rais wa sasa amejitahidi kukomesha huo mchezo mchafu. Ndio maana siku hizi kushinda ugenini imekua kawaida sehemu yoyote Africa
Asee Comoro imepaa kwa haraka sanaNakumbuka miaka michache nyuma ilikuja timu ya Comoro hapa ikabezwa sana na tukaelezwa ile nchi haina hata Ligi..
Sasa nimesikia inchi hii imecheza na misri jana na kutoka Sare
Haya ni maajabu,Nini siri ya hawa wangazija?
Commoro hawajawahi kupoteza mechi uwanja wa nyumbani kwao kwa muda mrefu sana.Asee Comoro imepaa kwa haraka sana
Soka sio karata mzee utasema ufiche, soka linapigwa hadharani kila mtu anaonaZamani Misri pamoja na kua na wachezaji wazuri Rais wa CAF aliepita alikua anawabeba sn. Huyu Rais wa sasa amejitahidi kukomesha huo mchezo mchafu. Ndio maana siku hizi kushinda ugenini imekua kawaida sehemu yoyote Africa
Kiwango cha soka kinazidi kushuka duniani kila siku mpira unaochezwa leo sio ule wa miaka ile.Nakumbuka miaka michache nyuma ilikuja timu ya Comoro hapa ikabezwa sana na tukaelezwa ile nchi haina hata Ligi..
Sasa nimesikia inchi hii imecheza na misri jana na kutoka Sare
Haya ni maajabu,Nini siri ya hawa wangazija?