fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,956
- 22,648
HABARI ZENU WAKUBWA??
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu
hivi inakuwaje askari wa kikosi cha usalama barabarani au hata Polisi hawa wananenepeana sana hadi vitambi vinakuwa vikubwa sana?
Hivi mfano trafiki anakua na kitambi kazi huwa anaifanyaje hasa pale ikitokea dharura ya kumkimbiza dereva wa gari ambaye ikatokea wamepishana kauli na dereva akaamua kukimbia?
Hata Polisi hawa wa sare ya kaki unakuta yupo analinda bank sasa na kile kitambi ataweza kukabiliana na jambazi ambaye ni jitu la miraba minne kweli?
Mimi naona hawa jamaa wenye vitambi wote wangepewa ratiba ya kukimbia kila asubuhi na jioni na wawe wanakula kutwa mara mbili
KWA MAANA HAWA JAMAA WANAHATARISHA USALAMA WA NCHI YETU NA WANAKULA MISHAHARA TENA IKIBIDI WAWE WANAKATWA KODI YA KITAMBI ELFU 10 KWA MWEZI
NAKUOMBA WAZIRI ANGALIA HILI JAMBO KWA MAKINI SANA
[HASHTAG]#YUNGTEMPer[/HASHTAG]
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu
hivi inakuwaje askari wa kikosi cha usalama barabarani au hata Polisi hawa wananenepeana sana hadi vitambi vinakuwa vikubwa sana?
Hivi mfano trafiki anakua na kitambi kazi huwa anaifanyaje hasa pale ikitokea dharura ya kumkimbiza dereva wa gari ambaye ikatokea wamepishana kauli na dereva akaamua kukimbia?
Hata Polisi hawa wa sare ya kaki unakuta yupo analinda bank sasa na kile kitambi ataweza kukabiliana na jambazi ambaye ni jitu la miraba minne kweli?
Mimi naona hawa jamaa wenye vitambi wote wangepewa ratiba ya kukimbia kila asubuhi na jioni na wawe wanakula kutwa mara mbili
KWA MAANA HAWA JAMAA WANAHATARISHA USALAMA WA NCHI YETU NA WANAKULA MISHAHARA TENA IKIBIDI WAWE WANAKATWA KODI YA KITAMBI ELFU 10 KWA MWEZI
NAKUOMBA WAZIRI ANGALIA HILI JAMBO KWA MAKINI SANA
[HASHTAG]#YUNGTEMPer[/HASHTAG]