SNAP J JF-Expert Member Dec 26, 2013 7,079 7,976 Oct 17, 2021 #1 Kama picha zake zinavyoonyesha wakuu. Naomba kujuzwa hili jiwe linaweza kuwa ni madini ya aina gani!? Maana lina vitu vinavyo ng'aa ng'aa.
Kama picha zake zinavyoonyesha wakuu. Naomba kujuzwa hili jiwe linaweza kuwa ni madini ya aina gani!? Maana lina vitu vinavyo ng'aa ng'aa.
Mapank JF-Expert Member Mar 8, 2011 4,074 5,913 Oct 17, 2021 #5 SNAP J said: Kama picha zake zinavyoonyesha wakuu,,, naomba kujuzwa hili jiwe linaweza kuwa ni madini ya aina gani!? Maana lina vitu vinavyo ng'aa ng'aa. View attachment 1977472View attachment 1977473View attachment 1977474 Click to expand... Kuanzia leo, wewe tajiri BOSS
SNAP J said: Kama picha zake zinavyoonyesha wakuu,,, naomba kujuzwa hili jiwe linaweza kuwa ni madini ya aina gani!? Maana lina vitu vinavyo ng'aa ng'aa. View attachment 1977472View attachment 1977473View attachment 1977474 Click to expand... Kuanzia leo, wewe tajiri BOSS
SNAP J JF-Expert Member Dec 26, 2013 7,079 7,976 Oct 17, 2021 Thread starter #6 Asanteni kwa majibu yenu.
mugah di matheo JF-Expert Member Jul 28, 2018 6,276 12,336 Oct 21, 2021 #7 SNAP J said: Kama picha zake zinavyoonyesha wakuu. Naomba kujuzwa hili jiwe linaweza kuwa ni madini ya aina gani!? Maana lina vitu vinavyo ng'aa ng'aa. View attachment 1977472View attachment 1977473View attachment 1977474 Click to expand... Wanaita folish Gold ni aina flani ya copper ni nyingi Sana katika central Tanzania creton hasa manyoni kuelekea Dodoma na kahama pia kuelekea nyarugusu Yana indicate uwepo wa minor to moderate apearence of Gold deposit
SNAP J said: Kama picha zake zinavyoonyesha wakuu. Naomba kujuzwa hili jiwe linaweza kuwa ni madini ya aina gani!? Maana lina vitu vinavyo ng'aa ng'aa. View attachment 1977472View attachment 1977473View attachment 1977474 Click to expand... Wanaita folish Gold ni aina flani ya copper ni nyingi Sana katika central Tanzania creton hasa manyoni kuelekea Dodoma na kahama pia kuelekea nyarugusu Yana indicate uwepo wa minor to moderate apearence of Gold deposit
Solix JF-Expert Member Jul 12, 2021 1,173 2,955 Oct 21, 2021 #8 Tatzo mawazo ya kuwa ipo siku utaokota madini yanakusumbua. Peleka idara ya madini wakupe mwongozo
BIG THINKER JF-Expert Member May 20, 2018 680 1,420 Oct 25, 2021 #9 Hiyo ni Tin kaka uko wap Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app