Hili jipu la Arusha litatimbuliwa lini?

Hili jipu la Arusha litatimbuliwa lini?

Kiujumla miundombinu ya uwekezaji ni mbovu, hata wakiwanyanyasa hawa wafanyakazi wnahaki, hao wawekezaji maana hawapati saport yoyote ile kutoka serekalini
 
Hawa wafanyakazi wa A to Z ndio walitumika kuujaza uwanja wa sheikh amri abeid mwaka jana, MAGUFULI alipokuja kufanya kampeni.
 
As far as ulitia saini mkataba ambao ndio unaoendesha maisha yako hapo kazini ina maana ulikubali masharti yao ambayo kwa sheria za uwekezaji wamekubalika na TIC pamoja na Wizara ya Kazi. Na hio haitegemei ni mzungu au mwafrika anaewekeza muhimu sheria za uwekezaji wamezifuata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom