mhhhhh nzuriiii
hela zisizo na kazi
Pesa makaratasi hasara roho
Pesa urembo kikubwa roho
Hahahahaha jerry nina mpango wa kurudisha ile ileAfadhali unechenji avatar
Hahahahaha jerry nina mpango wa kurudisha ile ile
Yani naichukia ile ni basi tu, mi hata siogopi nimeweka yangu kbs
HHaha kwanini
Hivi kumbe huyo ni wewe eeeeh
sasa hili ni kari la mafuta au?Litamudu barabara za tz?
Yeah ndio mimi 100% I dont have any reason to lie
Waoooow hupati usumbufu aina yoyote kwa kuweka picha halisi
mnakoelekea mtatongozana nyie, hahaahhaaaa I pressume....mtahamia kwenye Pm halafu mtahamia kwenye hilo gari halafu mtahamia, halafu mtahamia halafu.....God ForbidWaoooow hupati usumbufu aina yoyote kwa kuweka picha halisi
Litamudu barabara za tz?