Hili gari vipi?

Hili gari vipi?

kingfish

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
571
Reaction score
159
Litamudu barabara za tz?
 

Attachments

  • BRAND.jpg
    BRAND.jpg
    19.5 KB · Views: 484
Gari za kupigia misele tu hiyo. Haijakaa kikazi zaidi.
 
Na haya matuta yetu kama ya kupandia viazi vitamu itasalimika kweli??
 
Ukiiweka tinted kwenye windscreen utakuwa unakula za short time za kufa mtu
 
Back
Top Bottom