Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Yani ni aibu tupu eti leo ndio wanasimama bungeni kumkumbuka mahundi na kyaro. Aibu tupu juzi ndiyo yalisimama kumkumbuka kanumba. Yani ni aibuuuuuuuuuuuuuuuuu
mimi nimetafsiri kama ni kitendo cha Naibu Spika kumuumbua Spika wakeYani ni aibu tupu eti leo ndio wanasimama bungeni kumkumbuka mahundi na kyaro. Aibu tupu juzi ndiyo yalisimama kumkumbuka kanumba. Yani ni aibuuuuuuuuuuuuuuuuu
Yani ni aibu tupu eti leo ndio wanasimama bungeni kumkumbuka mahundi na kyaro. Aibu tupu juzi ndiyo yalisimama kumkumbuka kanumba. Yani ni aibuuuuuuuuuuuuuuuuu
Mh! baasi!hawa jamaa washukuru sana jf..hiyo ni baada ya kuchungulia humu ndio wameshituka.!
mimi nimetafsiri kama ni kitendo cha Naibu Spika kumuumbua Spika wake
Read between the lines siyo unakurupuka tu na ku commentKutoa heshima kwani ina limht ya mda?-
Spika alionekana Sinza kwa Kanumba. Kwa Mahundi hakwenda!
Kutoa heshima kwani ina mda wake-