hila za dunia kwa mwana harakati na mmiliki wa wikileaks,,,

sir.JAPHET

JF-Expert Member
May 18, 2012
699
133
mmiliki wa wiki leaks bw,asanja,, dunia na nchi tajiri duniani zimeendelea kumuandama kila kukicha na kumfitini,, ambapo hivi sasa anakabiliwa na kesi ya kubaka na vitendo na vya uzalilishaji,, mkazi huyo wa australia,,ametafutiwa visa vingi,,ili kukwamisha na kuweka vikwazo katika shughuli zake na za wikileaks kufichua na kutoa hadharani nyaraka za siri za balozi na serikali mbali mbali duniani kote,, na sasa ivi ameomba hifadhi uingereza lakini wanamuwekea vikwazo hata pa kujihifadhi,, yeye na familia yake,,, my take wana muandama ili waendelee kutufitini duniani na kutunyanyasa na kutupelekesha? na kutunyonya? au waendelee kutuzunguka na kutufanyia ujasusi bila sisi kujua na kujibebea rasilimali zetu kisiri chini ya kapeti,, na kufanya maovu yao asiwepo mtu wa kuweka wazi mambo yao kama alivyokua akiwafichua bwana asanja??:hatari:
 
kama umetulia kikamilifu na kufuatilia yale mambo aliyokuwa akiyafichua asang,yalikuwa yanawahudumia wakubwa tu,sana sana mmarekani na uingereza na.............
mambo yalikuwa yanahusu nchi za magharibi yalikuwa si siri za kutisha hata kwenye magazeti na mitandao ya kawaida unazipata,ila mambo yaliyokuwa yanahusiana na siasa za nchi za asia na africa na south america yalikuwa yanafichuliwa mambo mazito,ambayo kama hamtakuwa makini mara mnakombanishwa.
hivi adui wa mmarekani,apewe hifadhi na uingereza??!!wakati wote lao moja!
kuna kitu katikati hapo.
 
Back
Top Bottom