...niliona last week kwenye star tv kuna huyo jamaa urio alikua anahojiwa na angelo mwoleka kuhusu fursa ya tz ktk soko la ea,alijitambulisha kama mwenyekiti wa mtandao wa vijana tanzania.ndio mimi nauliza huo mtandao ni chama cha kisiasa,asasi au ni nini?je majukumu yake ni yepi?yeyote mwenye info zaid atujuze/anijuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.