Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
hahaha ................
Ushahidi wote anao lubuva , tena wazi kabisa !
Ushahidi wote anao lubuva , tena wazi kabisa !
Hivi Magufuli aliingia kwenye hayo mashindano?
Hii Forum sometimes inaboa sana.Halafu kwanini ule uzi umefungwa ? mbona uongo wa lizaboni mara zote unaachwa ? Jf imetishwa ?
Mungu akubariki sana .Nime-enjoy sana mtukufu kuangukia pua, yale mafisi ya Lumumba hayapiti huku tena!
Si tu kuwa aliingia lakini hata mafisi ya Lumumba yalilipwa fedha nyingi tu ili kupiga kura mara nyingi iwezekanavyo wakisau kwamba si uwingi wa kura pekee ndio unakupa ushindi bali kuna masuala mengine yanaangaliwa kumpata mshindi.Hivi Magufuli aliingia kwenye hayo mashindano?
Sasa CCM inahusikaje hapo?
Sasa CCM inahusikaje hapo?
kwa namna walivyojitapa humu sijui wanajisikiaje kwa kuongopa mchana kweupe ili hali mshindi wanamfahamu
Hii imeshangaza wengi sana kwa kweli wametumia KTN television kuhalalisha uongo wao,hapa wameichafua TV station ya watu kuaminisha uongo wao wanatakiwa washtakiwekichomiz.
Sasa ninaweza kujua kwanini JPM amelazimisha mswada wa sheria ya Huduma za Habari upitishwe Bungeni na tayari amesha usaini. You know what?JPM alitaka kuruhusu huu UONGO WA KUSHINDA FORBES upite na usihojiwe. Kweli JPM na CCM ni shida siyo Tanzania tu baali kwa dunia nzima.
Mimi naomba kama kuna Wanasheria hapa Tanzania au Kenya basi wachukue hatua za maksudi za kuwapeleka CCM na JPM Mahakamani kwa kughushi, wahukumiwe na wafungwe au kulipa faini na iwe fundisho kwao. Hatuwezi kutawaliwa na Serikali ya Matapeli na wenye Kughushi mitandao ya watu!! Shame on you CCM and your Presida.
Mtandao wa Forbes here under tells the story:
Forbes Africa (@forbesafrica) | Twitter
Kwa mtindo huu ndiyo maana JPM akasema ANATAMANI MITANDAO YOTE YA KIJAMII IFUNGIWE ILI IKIISHA MIAKA 5 NDIYO IFUNGULIWE! What a narrow and shameful thinking? Roho ileile ya KUPIGA MARUFUKU VYAMA VYA SIASA KUTOFANYA MIKUTANO ili kutotaka kukosolewa na kuumbuliwa !!!!!
Walikuwa wa kwanza kutoa pongezi usiku na picha wakaweka kabisa unalizunguziaje hilo,ukiwa kama mwanalumumba mkongwe?Sasa CCM inahusikaje hapo?