Freedom and self determination is better than maghorofa.
Ukiwa na Freedom na uwezo wa kudetermine future yako utaweza kujenga maghorofa kama hayo, kuyavunja ukitaka na kujenga yaliyobora zaidi. Ndiyo maana Kariakoo ya mwaka 1930 siyo kariakoo ya mwaka 2025, na kariakoo ya mwaka 2025 haitokuwa sawa na ya mwaka 2100.
Kwa hiyo usisumbuke sana na hiyo migorofa kuangushwa, sumbuka na occupation inayowanyima wapalestina self determination.
By the way Wapalestina wana gesi nyingi hapo ktk mwambao wa gaza ambayo wakiwa huru wana uwezo wa kupata hela kujenga hiyo migorofa yote ndani ya muda mfupi tu.