Walikuja na Meli kutoka Ulaya awa ndio MAGAIDI wakuu kufatana na Sheria zote za kimataifa !!!!
Vip utoke Ulaya uje Uwauwe wenyeji kwenye miji yao na kupora Ardhi yao na eti Uwaite wenyeji MAGAIDI !!!!
Umewafata ww maeneo yao naww ndio unatwambia awa Magaid uku ukichukua Ardhi zao RIP Nelson Mandela pia mlimwita GAID ndani ya Ardhi yake!!!
lkn sisi sio wajinga tulipinga!!
leo ni mpumbavu tu asie na Akili na asie na Mungu kwenye Nafsi yake ndio atawaita Wenyeji ni Magaid !!!
na Mzungu mvamizi ndio mwenye haki !!.¿¿¿
mtu kama uyu kafuga Shetani moyoni mwake akidhani ni Mungu lkn matendo yake niwazi yupo n Shetani ndio anamuongoza kutenda kinyume na Haki!!!!!
Picha iyo chini Mataga wa Kizungu wakiamia kwenye Ardhi ya wenyeji Wapalestina
leo wanawauwa wenyeji na kupora Ardhi yao na kuwapa Majina mabaya eti wenyeji Magaid naww unawaunga mkono
View attachment 3352451