Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
Mbona kimefanana na Cheti feki cha bashiteMungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685
Ulijitahidi mkuu !!! Vipi maisha nayo umepiga A & B ?!Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685
Maisha niko B,Ulijitahidi mkuu !!! Vipi maisha nayo umepiga A & B ?!
Utakuwa huvijui vyeti weweMbona kimefanana na Cheti feki cha bashite
Hivi kwa nini wale wasiojiweza sana darasani hufanikiwa ki maisha zaidi ya ma genius ?!.Maisha niko B,
Wanaojenga maghorofa Kariakoo na wamiliki wa Fedha nyingi hawana cheti kama hicho. Mafanikio katika maisha na akili za darasani ni vitu viwili tofauti kabisa. mimi sina hicho cheti ila nina uhakika hali yangu kuifikia itakuchukua miaka 100!Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685
Ulikuwa vizuri,ila kwa elimu yetu,unaweza kuwa na As,lakini ni mwendo wa kukalili tu,na kuhamishia kwenye paper.Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685
Nina degree moja, master degree is loading...Ulikuwa vizuri,ila kwa elimu yetu,unaweza kuwa na As,lakini ni mwendo wa kukalili tu,na kuhamishia kwenye paper.
VP hizo As,zimelifrect kwenye maisha,harafu ndugu elimu ya form 4,ni ndogo sana,shahada uligonga VP?na upande wa cash money,una A au F?
Hiyo unajipa matumaini tu nduguWanaojenga maghorofa Kariakoo na wamiliki wa Fedha nyingi hawana cheti kama hicho. Mafanikio katika maisha na akili za darasani ni vitu viwili tofauti kabisa. mimi sina hicho cheti ila nina uhakika hali yangu kuifikia itakuchukua miaka 100!
Ni asilimia ndogo sana.Hivi kwa nini wale wasiojiweza sana darasani hufanikiwa ki maisha zaidi ya ma genius ?!.
Muulize bi mkubwa huwa wanaokota vitu sana waleMkuu unajua kutunza me changu nishasahau hadi kiko wapi ,na deals na vyeti vya maisha tuu
Hii pointKwa kuwa mafanikio ni kuthubutu ,basi ambae darasani ni zero , anatumia zirp yake katika maamuzi magumu . Msoni anaogopa kwani anajua uhai wa mtu una thamani kubwa . Kwa maneno mengine maisha ni vita , hata jeshini kupigana hasa sio wasomi .
Ulijitahidi mkuu !!! Vipi maisha nayo umepiga A & B ?!