idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Angekaua kabisa.....kumbe wanamnyima haki yake....tena kwa ajili ya matibabu...ya baba yake....bulshit....alichofanya ni sawa tu....
Unamatatizo ya kisaikojia pole sana.
Angekaua kabisa.....kumbe wanamnyima haki yake....tena kwa ajili ya matibabu...ya baba yake....bulshit....alichofanya ni sawa tu....
Baada ya story ya yule msichana kwa anayefanya kazi za ndani Uganda kuchukua headlines katika vyombo
mbalimbali vya Kimataifa Duniani, leo kipo ambacho amekizungumza kwa mara ya kwanza tangu afanye kosa hilo.
Msichana huyo Jolly Tumuhiirwe ambaye kwa sasa amekamatwa na Polisi amesema sababu iliyomfanya
amtese mtoto Arnella Kamanzi, ni kutokana na kuchanganyikiwa baada ya waajiri wake kutompatia pesa ili amtumie baba yake ambaye alikuwa anaumwa.
Amesema anajiona mwenye hatia kwa alichokifanya japo anadhani alifanya hivyo kama njia ya kumkanya mtoto huyo kwa kuwa alikuwa akimuona mama wa mtoto huyo akimpiga kama njia ya kumkanya.
Jolly amelalamika kuwa anajisikia vibaya pale ambapo wafungwa wenzake wamekuwa wakimtenga sana na kutaka kumpiga.
Toka siku ya kwanza naiona hyo video nilijua kuna tatizo,tena tatizo kubwa kwa yule mfanyakazi,sitetei maovu aloyafanya ila at the frst place mzazi wa hyu mtoto alisababisha yote yale,uwez kumwachia mtu tena asie ndugu yako akulele mtoto alafu usimpe haki yake,japo njia hyu dada alotumia kuonesha hasira zake ilikua xtreem lakin she had to do smthng,nahisi she was temporary insane,unakuta dada alitoka kijijin kaja kaja kutafta pesa ya matibabu ya mzee wake alafu unamtosa,wat do u xpect.?ilinifundisho kwa serikali na kwa waajiri wote..nakumbka hata madaktari waligoma na watu wengi walikufa kisa mshahara.
Angekaua kabisa.....kumbe wanamnyima haki yake....tena kwa ajili ya matibabu...ya baba yake....bulshit....alichofanya ni sawa tu....
Angekaua kabisa.....kumbe wanamnyima haki yake....tena kwa ajili ya matibabu...ya baba yake....bulshit....alichofanya ni sawa tu....
ndugu yangu niliiona ile video, sijataka kurudia kuiona tena...sasa kinachonishangaza hapa sasa hivi mpaka nimeamua kukomenti ni kuona huyo dada yupo hai mpaka sasa hivi...hivi unaweza kusimama juu ya katoto kadogo kisa kametapika?? Attempted murder sio kesi pale...huyo dada angeuliwa kimya kimya bila polisi kujua wala mahakama kujua...mwendo wa umafia tu...halafu tatizo huaga wazaz tunachukua chukua wafanyakaz tuu..huaga hata hatujui kama ni wazima ama la...mimi ningeua hakiyanani... huwez mfanya vile mtoto kisa huaga namcharaza viboko mwanangu...kwanza kale katoto kaduchu sana aisee..hebu tufanye yaisha nsije nkatukana bure manake kila nkiwa naandika naona kale katoto kalivosukumwa pale chini, kanavopigwa bila huruma, kanavokanyagwa...! itokee tu na kwangu aisee mtasikia mtanzania mmoja has been charged of murder kwamtundika mfanyakaz wake kama nyama buchani...That will be all
mpuuzi huyo jamaa ana tafuta umaarufu jf.
Hao wafungwa wenzake wampige wamvunje ila wasimuuwe