Nafikiri unamaanisha vioo vya kujiona (mirrors),ni kwamba mpaka kioo kukamilika hupitia hatua mbili; hatua ya kwanza ni utengenezaji wa glass na glass ndio malighafi ya kutengenezea mirrors na hatua ya pili ni ile ya glass kufanywa mirror ntazielezea stage zote mbili; hatua ya kwanza ni utengezaji wa glass na glass hutengenezwa kwa kutumia MCHANGA(SAND)ambao una kiasi kikubwa cha silica or silicano dioxide(SiO2) viwandani mchanga huyeyushwa na kuwa ujiuji na uyeyuka at very high tempereture about 1700degree centigrade kutokana na melting point kubwa mchanga huchanganywa na sodium carbonate itakayopunguza melting point yake na ujiuji utakaopatikana utakuwa una ugumu fulani (armophorous solid) na ndio glass yenyewe hiyo hivyo hatua ya kwanza itakuwa imeisha.Swali, hivi kioo kinatengenezwa kwa kutumia madini gani au utaalam gani? Vitu kama darubini au lenzi bado vinanipa tabu sana jinsi vinavyotengenezwa
OH-Naomba formula ya hydroxo
Asante kwa kunipa shule. Je umewahi kuichungura darubini vizuri kuhusu picha na image zinavyoonekana? Nahisi kama ni zaidi ya hatua unazosemaNafikiri unamaanisha vioo vya kujiona (mirrors),ni kwamba mpaka kioo kukamilika hupitia hatua mbili; hatua ya kwanza ni utengenezaji wa glass na glass ndio malighafi ya kutengenezea mirrors na hatua ya pili ni ile ya glass kufanywa mirror ntazielezea stage zote mbili; hatua ya kwanza ni utengezaji wa glass na glass hutengenezwa kwa kutumia MCHANGA(SAND)ambao una kiasi kikubwa cha silica or silicano dioxide(SiO2) viwandani mchanga huyeyushwa na kuwa ujiuji na uyeyuka at very high tempereture about 1700degree centigrade kutokana na melting point kubwa mchanga huchanganywa na sodium carbonate itakayopunguza melting point yake na ujiuji utakaopatikana utakuwa una ugumu fulani (armophorous solid) na ndio glass yenyewe hiyo hivyo hatua ya kwanza itakuwa imeisha.