Hiki kigari mpaka kifike bongo itanicost sh ngapi?

Hiki kigari mpaka kifike bongo itanicost sh ngapi?

Kigari cha kuchezea watoto hicho kitakua kipo Ali baba daah TRA wanatunyoosha tutakuja kuuzia magari ya mbao na Wachina wakati magari halisi tu sio bei shida NJ Kwao..
 
Nakujibu kitaalamu.. kodi yetu ya vyombo kutoka nje nadhani unalipia nusu ya bei uliyonunulia kama niko sahihi....


Nakujibh kijiweni....
Kwakuwa hiko Kigali ni kidogo utalipa efu nne
 
Di bora umwambie masudi kipanya akuuzie kile chake
 
Hiyo ni zarau kwa mkeo, hamna gari hapo hilo ni torori.
Kama huna hela bora uvumilie tu kugongewa kuliko kujikaza kuleta taka bongo.
Hayo matoroli watoto wa nursery huko china wanaunda wakiwa wanacheza shuleni kwao.
Cha kuhuzunisha ni kwamba mpaka leo Tanzania hatujaweza kuunda "toroli" kama hilo 😐
 
Japani kanauzwa elfu sabini ako sema tra watataka kodi milioni saba
hawa jamaa pumbav sana utafikiri io gari wameitengeneza wao. wanataka kula ela pasu na mtengenezaji. mweusi ana shida mahali fulani haiwezekani aisee
 
Wadau Hiki ki kigari mpaka kifike bongo itanicost sh ngap nataka nimnunulie wife aende nacho kazini
Kipanya si anavitengeneza pale Sido Kipawa? Nenda kaweke order.
 
Kwani kipanya bado hajapewa ruhusa ya kuuza zile gari zake mpaka uagize nje?
 
Unaposhuka mwinuko mkali lazima kuwe na hati hati ya bingiri-bingiri-bingiri mpaka chini.
 
Mbona kama ushuru walishatoa kwenye gari za umeme?
 
Back
Top Bottom