Binti Abdullah
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 653
- 536
Hiki kifaa cha mbao kama bawaba kinaitwaje na kazi yake ni nini haswa?
Kinaonekana ni kipya wewe umekipata wapi? Haiwezekani umekiokota au umekinunua, labda itakuwa umekikuta kwenye kontena mlilosopoa mahali.Hiki kifaa cha mbao kama bawaba kinaitwaje na kazi yake ni nini haswa?
View attachment 1456707
View attachment 1456709
Hahahaaaa. Please help mzee baba. Kinaitwaje na kazi yake ni nini mkuu?Hebu tuambie kwanza, umekitoa wapi?
Mzee baba, I am not a thief hahahahaaaaKinaonekana ni kipya wewe umekipata wapi? Haiwezekani umekiokota au umekinunua, labda itakuwa umekikuta kwenye kontena mlilosopoa mahali.
Hivi kweli wew mbibi hivyo vijiti vya kupekecha hujavitumia enzi zako.Nafananisha na vile vijiti vya ulimbombo na ulindi,binadamu alotumia kupekecha "moto"
Umekiiba wapi mkuu?, maana kama ungekinunua basi ungeambiwa matumizi yake.
Nimevitumia sana mjukuu wangu, enzi hizo hakukua na viberiti, kuwasha moto ni mpaka kwa hivo vijiti tu.Hivi kweli wew mbibi hivyo vijiti vya kupekecha hujavitumia enzi zako.
Sent using Jamii Forums mobile app
sipati picha ukiwa unapekecha, na vile mlikuwa hamna nguo. Na kakitambaa pale mbele.Nimevitumia sana mjukuu wangu, enzi hizo hakukua na viberiti, kuwasha moto ni mpaka kwa hivo vijiti tu.
Umenikumbusha siku hivo vijiti si vikanigomea kuwasha moto na watoto njaa yawauma, yani walijutaa
Hahaa, ilikua fasta tu na tulikua tunavaa ngozi za wanyama mkuu, sketi yangu ngozi ya ng'ombe bado ipo, ukumbusho wa wajukuu zangu kama nyie😀sipati picha ukiwa unapekecha, na vile mlikuwa hamna nguo. Na kakitambaa pale mbele.
Bibi ulitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa, ilikua fasta tu na tulikua tunavaa ngozi za wanyama mkuu, sketi yangu ngozi ya ng'ombe bado ipo, ukumbusho wa wajukuu zangu kama nyie
Siku moja nitakuja PM nione bibi.Hahaa, ilikua fasta tu na tulikua tunavaa ngozi za wanyama mkuu, sketi yangu ngozi ya ng'ombe bado ipo, ukumbusho wa wajukuu zangu kama nyie
Sema umekipata wapi au umekiona wapi na kama umekiona mahali kwanini haukuwauliza wahusika.Mzee baba, I am not a thief hahahahaaaa
Ni kifaa cha Marehemu baba yangu mdogoSema umekipata wapi au umekiona wapi na kama umekiona mahali kwanini haukuwauliza wahusika.
Ukame mbaya sana, fikria tu ile wewe ulikuwa unapekecha ukiwa uchi na nyonyo zinatikisika na Wezere kule nyima linavyotetema Dudu langu lishasimama.
Sent using Jamii Forums mobile app