Hiki chama ni cha kidini?

Rais dhaifu akishindwa kuongoza Kwa weledi daima hukimbilia kujificha kwenye kivuli cha udini akitumia machawa kutoka dini yake
Kuwa na ukali na minguvu ndio ushupavu? Udhaifu unaupimaje? Kwa matamanio yako? Kwamba rais ni muislam tumlabel dhaifu lakini mwenzetu tumlabel shujaa?

Uadilifu ni shida sana
 
Nimekusoma
Bado naendelea na utafiti
 
Kama wamezoeleka kwanini makelele mengi hivi 😁, si muwapotezee kama Hawana effect tuone. Hi ni ishara wazi kauli zao ni mwiba mchungu sana Kwa wanaohusika, wanajua hilo unapenya mpaka ndani.
 
Sisi tunafundishwa kuheshimu umjuae na usiyemjua, maoni ya mtu na rai zake, hata wewe naheshimu matusi yako,

Utafiti unaendelea na mwisho nitaleta mrejesho endelea kutukana
Acha tisha watu , unaulizwa ni matusi gani ,hujibu so ukipost upumbavu usijibwe ? Lazima jibiwa maana sie sio wapumbavu.
Leta tusi nimekutukana
 
Majuzi kati Naibu waziri Mkuu alienda kwenye upadrisho, kule alifuata nini? Yaani Serikali ilifuata nini kwemye shughuli ya kidini????
 
Mungu akubariki mtoa mada, umesema kweli kabisa. Hayo matusi meengi na makali unayotukanwa ni ushahidi wa ukweli uliousema, wanakuwa wakali sababu wanataka kuficha huo udini wao ambao haufichiki Sasa.
 
Kuwa na ukali na minguvu ndio ushupavu? Udhaifu unaupimaje? Kwa matamanio yako? Kwamba rais ni muislam tumlabel dhaifu lakini mwenzetu tumlabel shujaa?

Uadilifu ni shida sana
Issue ni rais wa sasa, ni dhaifu sana na kila mwenye akili tulivu analijua, achana na wale watumwa wa primitive mythology
 
Mungu akubariki mtoa mada, umesema kweli kabisa. Hayo matusi meengi na makali unayotukanwa ni ushahidi wa ukweli uliousema, wanakuwa wakali sababu wanataka kuficha huo udini wao ambao haufichiki Sasa.
Ameen na wewe akubariki kwa kuchangia, na bado utafiti unaendelea
 
Issue ni rais wa sasa, ni dhaifu sana na kila mwenye akili tulivu analijua, achana na wale watumwa wa primitive mythology
Ndio nikauliza kipimo cha udhaifu, au ni vile hamsikii au hamuoni yanayoamuliwa na kalamu? Mambo mengine na hatua nyingine hubaki siri mda mrefu tu hata milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…