sioni tatizo katika Hilo.Kwani unaweza kuutenganisha uislam na uarabu?
Hilo ni vazi la kitamaduni la kiarabu kama ilivyo kanzu. Kwahiyo hawa akina Mwamedi na Mwajuma wa huku Buza wamepewa dini na utamaduni wa mwarabu waufuate.
Hili vazi la hijab ambalo huvaliwa zaidi na wanawake wengi wa dini ya Kiislamu na Waarabu ni vazi la kidini(uislamu) au la utamaduni wa Waarabu?
View attachment 3333245
Hili swali waulize wakristo wenzio kuhusu kuvaa hijab kwa wale masista wa Roman catholicHili vazi la hijab ambalo huvaliwa zaidi na wanawake wengi wa dini ya Kiislamu na Waarabu ni vazi la kidini(uislamu) au la utamaduni wa Waarabu?
View attachment 3333245
Uislamu unaelekeza mwanamke avae vazi la staha na afunike kichwa,sasa kila mtu,au kabila,au utamaduni utaliita vazi la staha jina jina lakeHili vazi la hijab ambalo huvaliwa zaidi na wanawake wengi wa dini ya Kiislamu na Waarabu ni vazi la kidini(uislamu) au la utamaduni wa Waarabu?
View attachment 3333245
Wanasema kanzu sio vazi la kidini linaweza kuvaliwa na yoyote, huwa naona wanaume wengi Wagalatia wanavaa kanzu ila sio rahisi kuona wanawake Wagalatia hasa watu wazima sana wamevaa hijab.Kwani unaweza kuutenganisha uislam na uarabu?
Hilo ni vazi la kitamaduni la kiarabu kama ilivyo kanzu. Kwahiyo hawa akina Mwamedi na Mwajuma wa huku Buza wamepewa dini na utamaduni wa mwarabu waufuate.
Uislam sio dini bali ni mila na desturi za waarabuKwani unaweza kuutenganisha uislam na uarabu?
Hilo ni vazi la kitamaduni la kiarabu kama ilivyo kanzu. Kwahiyo hawa akina Mwamedi na Mwajuma wa huku Buza wamepewa dini na utamaduni wa mwarabu waufuate.
Mbona Tajikistan nchi ya Kiislamu wamepiga marufuku uvaaji hijab katika umma?Hijabu ni vazi linalofunika kichwa na kifua
mwanamke.
huchukuliwa kama sehemu ya vazi la staha kwa wanawake.
Kwa mwanawake wa kiislam ni lazima avae hijabu,anapokua mbele ya mwanamume yeyote ambaye si mume wake,lakini anaweza kumuoa kisheria.na si lazima avae hijabu anapokuwa na ndugu zake wa damu,wanawake wenzie au watoto.
Kwa maana hiyo yote yanaweza kuwa majibu.
i)kwa waislam ni vazi la kidini.
ii)kwa wasio waislam ni vazi tu la kawaida.
iii)kwa waarabu wasio waislam linaweza kuwa ni vazi lao la kiutamaduni,maana huko ndiko asili ya hilo vazi!
Ila una kivazi cha kufunika uso hicho,kinaitwa nikabu,hicho ni hatari balaa.maana hata mwanaume mwenye midevu anaweza akavaa pamoja na mavazi mengine ya kike na msimtambue.
Ndio unaweza kuutenganisha uislamu na uarabu,kwani sio waarabu wote ni waislamu na sio waislamu wote ni waarabu,na kwa taarifa yako indonesia ndio nchi yenye waislamu wengi dunianiWanasema kanzu sio vazi la kidini linaweza kuvaliwa na yoyote, huwa naona wanaume wengi Wagalatia wanavaa kanzu ila sio rahisi kuona wanawake Wagalatia hasa watu wazima sana wamevaa hijab.
Ni kweli lakini wengi waovaa ni waislam ambao wanafuata mila na tamaduni za kiarabuWanasema kanzu sio vazi la kidini linaweza kuvaliwa na yoyote, huwa naona wanaume wengi Wagalatia wanavaa kanzu ila sio rahisi kuona wanawake Wagalatia hasa watu wazima sana wamevaa hijab.
Kila nchi ina maamuzi yakeMbona Tajikistan nchi ya Kiislamu wamepiga marufuku uvaaji hijab katika umma?
Mimi sijasema ni tatizo sheikh na hata mleta mada hajasema ni tatizo bali ameuliza tu kama ni vazi la kidini au la kitamaduni.sioni tatizo katika Hilo.
kwa sababu ukiacha Hilo la mavazi na tamaduni za kiarabu Bado mwafrika anafuata tamaduni na mavazi ya jamii zingine.
Tajikistan, Azerbaijan na Kosovo ambazo ni nchi zenye waislamu wengi zimepiga marufuku uvaaji hijab!Uislamu unaelekeza mwanamke avae vazi la staha na afunike kichwa,sasa kila mtu,au kabila,au utamaduni utaliita vazi la staha jina jina lake
Mkuu kila nchi ina tamaduni zake na dini zake. Lakini nchi inaweza ku adopt dini ya nje lakini ikaamua kubaki na utamaduni (mavazi, lugha, chakula, n.k) wa kwao.Mbona Tajikistan nchi ya Kiislamu wamepiga marufuku uvaaji hijab katika umma?