mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 311
Niko na ndugu yangu amemaliza form four kwa alama ya maziro mengi anahitaji kujiendeleza kielimu ila hataki tena kumshirikisha mmasai (kurudia mtihani) jamani afanye nn ili ajiendeleze kwa elimu ya juu anataka kusoma na uwezozo kifedha upo jee apige couse gani ili aweze kujinga na chuo kwa ngazi ya cheti yeye anataka asome PROCUREMENT & SAPPLY
MSHAURINI MUJUWAO
MSHAURINI MUJUWAO