Hii Zuku ikoje?


Hapo kwenye receiver nimekupata kaka je? Ni ungo gani ambao ni best (nguvu) zaidi ili niweze kuutumia na LNB ya aina gani nayo inabidi niitumie ili niweze kufanikisha kuona mpaka hiyo dubai sport??
Nashukuru xana kwa maelezo yako mkuu na msaada wako.
 
Interesting.
Ngoja nipate maarifa hapa niachane na hawa matapeli Startimes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…