Hii ya Robert Mboma imekaaje wakuu?

Mimi ndo napata habari hii leo. La msingi umeme uwepo, Hili la kuwateua, katiba yetu dhaifu inampa mamlaka hayo bila kuhojiwa na mtu yeyote ikiwepo Bunge - I think so.

Kweli mwanasiasa wewe ni mchumia tumbo.,!!mambo madogo kama hayo umeshindwa kuyafahamu mpaka upate habari jf!!!Eti unajiita "mwenyekiti wa segerea wa CDM"!!penda kufatiria mambo mkubwa,mbona Mboma yupo muda mrefu tu.Nasijui kama nikikupa homework yakutaja mawaziri wa 5 na wizara zao,sijui kama utapata!
 
Hawa wazee wameshika nafasi kubwa sana kiusalama, haiwezekani wakastaafu ukawaacha tu vijiweni. Ni vizuri kuwaweka bussy. Majirani zako wanaweza kuwashawishi na kuwatumia dhidi yetu.

Safi mkubwa.Hayo ndio mawazo sio mawazo ya hao watuta-msuba.
 
wabongo wengi tumeshayachoka haya..
Ila katiba mpya itakapopatikana,itatuonesha njia... Mpaka itakapopatikana sasa sijui ni lini..
 
Ukistaafu jeshi kiapo nacho kinastaafika ama...@mzawahalisi...
Au wazee wa kisasa,huwashwa na tamaa ya mali isivyo kawaida? Kama utarudi ufafanue tafadhali..
 
ahahahahahaaaaa!! tumeliwa! ngereja kasahau jina la mwanamuziki mashuhuri wa kingoni kumpatia ubodi member!
 
Hizi sio bodi ila ni rubber stamp. Mara nyingi management management inakuwa na ushawishi zaidi ya bodi.

Anyway, hapa ndio pa kurekebisha maisha, hongereni sana mwenyekiti na wajumbe wa rubber stamp ya management ya Tanesco. Baada ya mud a wenu kuisha matatizo yatakuwa palepale au hata zaidi.
 
Du tunalalamika mno wakati tunajua tatizo lipo wapi.ccm hawawezi tena kuongoza nchi huyu mbona alishapata kiinua mgongo zaidi milioni 100, anamashamba mbeya makubwa mno bado tena amechaguliwa kuwa kwenye board ya tanesco vijana wengi wame graduate engineering udsm hawana kazi ukiuliza utasikia hawana uzoefu huyu mbona ni rubani je umeme anauzoefu nao?
 
Mimi ndo napata habari hii leo. La msingi umeme uwepo, Hili la kuwateua, katiba yetu dhaifu inampa mamlaka hayo bila kuhojiwa na mtu yeyote ikiwepo Bunge - I think so.

Umeme uwepo kwa bei propotional na kakipato ka mtanzania.
 
Back
Top Bottom