controler
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 1,562
- 361
kwa hao wakenya wanamaendeleo gani? mbona tunawaona huku kwetu wakija kuomba ajira? kwa nini wasikae huko kwao kama mambo ni mazuri? umeshawahi kumuona msaudia arabia au mmerekani akija bongo kuomba ajira? poor analysis.
Magamba mnatokwa povu balaa.