milioni milioni
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,845
- 1,059
Write your reply...Mkuu Ubungo ni maegesho ya magari sio stand
Kumbe we wa mkoani,vipi ulipanda shambalai au ninikumbe ni maegesho
Kwa miaka mingapi??Under construction
Hadi itakapo kamilikaKwa miaka mingapi??
stand mpya inaanza kujengwa mwezi wa kumi mwaka huu huko mbezi luis, hiyo watakabidhiwa DART, itakua bab kubwa raman yake ni ya kisasa sana tulieniNimeshangaa stand kubwa ya magari ya kwenda mkoani jiji la Dar kukosa sehemu ya watu kukaa kiasi cha abiria kungoja usafiri huku wamesimama.
View attachment 874358View attachment 874359View attachment 874360
Karibu tena... kasalimie wale ng'ombe unaochunga.stand yenu msiisahau. kwa heri Dar es slaam
Shambalai inaenda Kolomije?Kumbe we wa mkoani,vipi ulipanda shambalai au nini
Na ile ya mwendo kasi ikagawiwa kwa machingaUnder construction
We ni wa kutokea 254?simba coach ya kenya mombasa