.."zipo pale Posta ya zamani"Imagine Public toilets za Dar zipo hivi . . . .
lile ya mwisho kule upande wa kulia imetisha.
Akina dada naomba mnisamehe kwa hii picha, ila nataka kuelimisha watu hasa watanzania wenzangu kuhusu wenzetu "WANAVYOPIGA HATUA" mbele kwa udhalilishaji kwa design mpya kila siku.
View attachment 21277
Daaah! Sasa kama kwa movement moja ya toilet unaosha 4hrs, ukienda mara 3 je?? Kazini itakuwaje?? Hahahahah