Kuna "TRUST" imezinduliwa juzi juzi na moja ya majukumu yake ni kushughulikia madawati kwa ajili ya shule za msingi/kata. Waziri mwenye dhamana ya mambo ya nje alisema hii chenji lazima irudi na tutaielekeza katika madawati, isitoshe wabunge pamoja na naibu spika walitumwa Uingereza kufuatilia hii chenji ambayo hata wao wakasisitiza kuwa itapelekwa kwenye madawati. Ghafla kumeibuka Hassan Maajar Trust Fund ambayo ina uhusiano na balozi wetu wa zamani nchini Uingereza na wanasema "Trust" yao inataka kusaidia kuondoa shida ya madawati nchini.
Mhhhh, hebu tutafakari hapa.
"Moringe wote ni wamasai lakini sio kila Moringe ni mmasai"
Mhhhh, hebu tutafakari hapa.
"Moringe wote ni wamasai lakini sio kila Moringe ni mmasai"