Hii TMX ni kiboko ya vibaka

Hii TMX ni kiboko ya vibaka

Bibianna

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2025
Posts
400
Reaction score
135
1755065926976.png


Rais Samia ameanzisha Soko la TMX mauzo ya mazao yaongezeka kwa asilimia 300 imani ya wakulima imeongezeka

Chini ya Rais Samia Serikali imeimarisha udhibiti wa biashara ya mazao ya kilimo kwa kutumia mfumo rasmi wa masoko kupitia Tanzania Mercantile Exchange (TMX). Kupitia mfumo huu, wakulima huuza mazao yao kupitia vyama vya ushirika kwa bei shindani, huku wakipata uhakika wa soko na malipo. Hatua hii imelenga kuondoa biashara holela, kuongeza uwazi, na kulinda maslahi ya wakulima.

Matokeo ya mfumo huu yamekuwa dhahiri, ambapo kiasi cha mazao kilichouzwa kupitia ushirika kimeongezeka kutoka tani 591,268.12 zenye thamani ya TZS trilioni 1.1 mwaka 2021 hadi tani milioni 2.23 zenye thamani ya TZS trilioni 4.2 mwaka 2025. Hii ni ongezeko la karibu asilimia 300, linalothibitisha mafanikio ya utekelezaji wa mfumo wa TMX katika kuongeza ufanisi na tija kwenye sekta ya kilimo
 
Mkuu Bibianna unatetea kitu usichokijua.
Stakabadhi ghalani ni aina nyingine mpya ya kuwanyonya wakulima...mfano mimi nimelima Dengu na wanakuja wanunuzi kununua ila Serikali inawakamata kwa kuwa hawaruhusiwi kununua......na unaambiwa peleka mazao kwenye ghala la Serikali kwa mfumo wa Stakabadhi ghalani.....huu ni upuuzi wa kupingwa

Mkulima saa anapinda mgongo kule shambani, serikali mlikuwa mnafanya nini? kwa nini utupangie tuuze wapi?
 
Mkuu Bibianna unatetea kitu usichokijua.
Stakabadhi ghalani ni aina nyingine mpya ya kuwanyonya wakulima...mfano mimi nimelima Dengu na wanakuja wanunuzi kununua ila Serikali inawakamata kwa kuwa hawaruhusiwi kununua......na unaambiwa peleka mazao kwenye ghala la Serikali kwa mfumo wa Stakabadhi ghalani.....huu ni upuuzi wa kupingwa

Mkulima saa anapinda mgongo kule shambani, serikali mlikuwa mnafanya nini? kwa nini utupangie tuuze wapi?
Mifumo mingi ya serikali imefanyiwa majaribio na kuonekana inafaa zaidi, Wakulima wengi walitapeliwa hapo kabla
 
Mkuu Bibianna unatetea kitu usichokijua.
Stakabadhi ghalani ni aina nyingine mpya ya kuwanyonya wakulima...mfano mimi nimelima Dengu na wanakuja wanunuzi kununua ila Serikali inawakamata kwa kuwa hawaruhusiwi kununua......na unaambiwa peleka mazao kwenye ghala la Serikali kwa mfumo wa Stakabadhi ghalani.....huu ni upuuzi wa kupingwa

Mkulima saa anapinda mgongo kule shambani, serikali mlikuwa mnafanya nini? kwa nini utupangie tuuze wapi?
hii si kweli lakini
 
Mkuu Bibianna unatetea kitu usichokijua.
Stakabadhi ghalani ni aina nyingine mpya ya kuwanyonya wakulima...mfano mimi nimelima Dengu na wanakuja wanunuzi kununua ila Serikali inawakamata kwa kuwa hawaruhusiwi kununua......na unaambiwa peleka mazao kwenye ghala la Serikali kwa mfumo wa Stakabadhi ghalani.....huu ni upuuzi wa kupingwa

Mkulima saa anapinda mgongo kule shambani, serikali mlikuwa mnafanya nini? kwa nini utupangie tuuze wapi?
CCM ni Chama Cha Majizi
 
View attachment 3439721

Rais Samia ameanzisha Soko la TMX mauzo ya mazao yaongezeka kwa asilimia 300 imani ya wakulima imeongezeka

Chini ya Rais Samia Serikali imeimarisha udhibiti wa biashara ya mazao ya kilimo kwa kutumia mfumo rasmi wa masoko kupitia Tanzania Mercantile Exchange (TMX). Kupitia mfumo huu, wakulima huuza mazao yao kupitia vyama vya ushirika kwa bei shindani, huku wakipata uhakika wa soko na malipo. Hatua hii imelenga kuondoa biashara holela, kuongeza uwazi, na kulinda maslahi ya wakulima.

Matokeo ya mfumo huu yamekuwa dhahiri, ambapo kiasi cha mazao kilichouzwa kupitia ushirika kimeongezeka kutoka tani 591,268.12 zenye thamani ya TZS trilioni 1.1 mwaka 2021 hadi tani milioni 2.23 zenye thamani ya TZS trilioni 4.2 mwaka 2025. Hii ni ongezeko la karibu asilimia 300, linalothibitisha mafanikio ya utekelezaji wa mfumo wa TMX katika kuongeza ufanisi na tija kwenye sekta ya kilimo
Tmx imeanza lini
 
Usipotoshe jamii, kama huna taarifa rasmi tulia.

Jiulize
1. Wakati Magufuli anazuia chomachoma wa korosho wasilipwe na kuruhusu wanajeshi wasimamie korosho mlipaji mkuu wa mauzo ya korosho alikuwa nani kama sio TMX??

2. Malipo ya ufuta yalikuwa yanafanywa na nani??

3. Kwanini wakati wa Magufuli TMX walizuiwa kuendelea kulipa pesa za mauzo ya mazao kwa wakulima??
 
Back
Top Bottom