Hii tabia ya Polisi Tanzania imenishtua

Hii tabia ya Polisi Tanzania imenishtua

sekulu

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
988
Reaction score
158
Tarehe 16 may nilikua nafanya safar ya kutoka Dar nikiwa naelekea Tunduma Mbeya. Nilikua naendesha gar ya rafiki yangu ambae ni raia wa zambia na tulikubaliana nilisogeze mpaka mpakani yeye atalichukua kwanzia Tunduma. Katika hali isiyokua ya kawaida kwangu nimesimamishwa na askari wa barabarani mara 4 kama ifuatavyo.

Wa kwanza : checkpoint kabla ya misugusugu; aliomba lesseni nikampa akakagua gar na baadae akanambia anaomba hela anunue maji. sikumpatia nikatimka baada ya kuchukua leseni yangu.

Wa pili: Hii ilikua Maseyu Moro. Yeye akanichana live akasema naomba hela njaaa inauma sana. Huyu wa kiume. Nikasema sina na gari inanisumbua nikasepa.

Wa tatu : Doma Morogoro tena huyu alikua mmama anatochi akakuta nina nyama ya mbuzi ndani huwezi kuamini kaiomba mpaka nikamkatia kipande. Akataka na hela nikaruka kama swala.

Mikumi ndani mbugani nikakutana na wengine hawa hawakua na madhara sana nikiwapiga sound wakaniacha. Sikua na kosa kwani gar yangu ilikua na king'amuzi.

Wa mwisho alieniua ni huyu wa nne: huyu nimekutana nae hapa chekpoint ya kuingia Mbeya kanisimamisha akasema "naomba japo buku mbili si unaona baridi hili?" nikamtosa nikimwambia sina hata kumi. Akasema poa nikasepa.


Hii haina maana hakuna wengine walionizingua kama pale check point Iringa ila hawa wa kuomba live live ndo noma.

Nikajiuliza: hawa jamaa wanashida gani?

Wamekula maharage gani?.

Hawaoni aibu?

Dah. Nilitaman kuwarekodi ila nilishindwa.

Ngoja nimalize safari.

Asanteni.
 
Tarehe 16 may nilikua nafanya safar ya kutoka Dar nikiwa naelekea tunduma mbeya. Nilikua naendesha gar ya rafiki yangu ambae ni raia wa zambia na tulikubaliana nilisogeze mpaka mpakani yeye atalichukua kwanzia Tunduma. Katika hali isiyokua ya.kawaida kwangu nimesimamishwa na askiri wa barabarani mara 4 kama ifuatavyo.

Wa kwanza : checkpoint kabla ya misugusugu; aliomba lesseni nikampa akakagua gar na baadae akanambia anaomba hela anunue maji. sikumpatia nikatimka baada ya.kuchukua leseni yang

Wa pili: hii ilikua maseyu moro. Yeye akanichana live akasema naomba hela njaaa inauma sana. Huyu wa kiume. Nikasema sina na gar inanisumbua nikasepa.

Wa tatu : Doma morogoro tena huyu alikua mmama anatochi akakuta nina nyama ya mbuzi ndani huwezi kuamini kaiomba mpaka nikamkatia kipande. Akataka na hela nikaruka kama swala.

Mikumi ndani mbugani nikakutana na wengine hawa hawakua na madhara sana nikiwapiga sound wakaniacha. Sikua na kosa kwani gar yangu ilikua na king'amuzi.

Wa mwisho alieniua ni huyu wa nne: huyu nimekutana nae hapa chekpoint ya kuingia mbeya kanisimamisha akasema "naomba japo buku mbili si unaona baridi hili?" nikamtosa nikimwambia sina hata kumi. Akasema poa nikasepa.


Hii haina maana hakuna wengine walionizingua kama pale check point iringa ila hawa wa kuomba live live ndo noma.

nikajiuliza: hawa jamaa wanashida gani?

wamekula maharage gani?.

hawaoni aibu?

dah. Nilitaman kuwarekodi ila nilishindwa.

Ngoja nimalize safar. Asanteni

Ungewapa tu siunajua serikali yenyewe hii askari wamepigika balaa
 
Kwani wewe hujawahi kuomba kitu au msaada?

Mtuache.

Sent from JamiiForums
 
Kwani wewe hujawahi kuomba kitu au msaada?

Mtuache.

Sent from JamiiForums

Samahani kama nimekukwaza.....ila kwanini aombe lesseni na azunguke gari kitu nilichoona kwamba anatafuta kosa na anapolikosa ndo anakuja na kusema nyaonya nyela?
 
Wakiomba tabu wakikutafutia kosa tabu embu acha kutuonea wewe utuonee bos nae atuonee kwa kamshahara kiduchu na kutulaza kwenye suti za bati joto shida baridi shida kudadadeki bora kufanya kama burundi tu

Fanyeni kazi aisee......naombeni mfanye kazi. Hizi mambo za naomba buku mbili acheni
 
Tarehe 16 may nilikua nafanya safar ya kutoka Dar nikiwa naelekea tunduma mbeya. Nilikua naendesha gar ya rafiki yangu ambae ni raia wa zambia na tulikubaliana nilisogeze mpaka mpakani yeye atalichukua kwanzia Tunduma. Katika hali isiyokua ya.kawaida kwangu nimesimamishwa na askiri wa barabarani mara 4 kama ifuatavyo.

Wa kwanza : checkpoint kabla ya misugusugu; aliomba lesseni nikampa akakagua gar na baadae akanambia anaomba hela anunue maji. sikumpatia nikatimka baada ya.kuchukua leseni yang

Wa pili: hii ilikua maseyu moro. Yeye akanichana live akasema naomba hela njaaa inauma sana. Huyu wa kiume. Nikasema sina na gar inanisumbua nikasepa.

Wa tatu : Doma morogoro tena huyu alikua mmama anatochi akakuta nina nyama ya mbuzi ndani huwezi kuamini kaiomba mpaka nikamkatia kipande. Akataka na hela nikaruka kama swala.

Mikumi ndani mbugani nikakutana na wengine hawa hawakua na madhara sana nikiwapiga sound wakaniacha. Sikua na kosa kwani gar yangu ilikua na king'amuzi.

Wa mwisho alieniua ni huyu wa nne: huyu nimekutana nae hapa chekpoint ya kuingia mbeya kanisimamisha akasema "naomba japo buku mbili si unaona baridi hili?" nikamtosa nikimwambia sina hata kumi. Akasema poa nikasepa.


Hii haina maana hakuna wengine walionizingua kama pale check point iringa ila hawa wa kuomba live live ndo noma.

nikajiuliza: hawa jamaa wanashida gani?

wamekula maharage gani?.

hawaoni aibu?

dah. Nilitaman kuwarekodi ila nilishindwa.

Ngoja nimalize safar. Asanteni

Chagua ukawa ikatae ccm
 
polisi wengi wana njaa kali sana, ndio maana wanadharirika na rushwa ndogo za elf 2.
imeshakuwa tabia hawawezi kuacha.
 
polisi wengi wana njaa kali sana, ndio maana wanadharirika na rushwa ndogo za elf 2.
imeshakuwa tabia hawawezi kuacha.

Kama unazo nyingi kuliko wao wape tu,ili wajue kuwa wewe unazo.

Au na wewe njaa kali zaidi yao.
 
sion km kuna tatiz hapo! ungewapatia tu

Tatizo lipo tena likubwa tu yeye awapatie anatoa wapi na hao unaosema wapatiwe wao hawalipwi mshahara? Je akikuomba nesi nae umpatie? Mwalimu je?? Na ombaomba wa kawaida je?? Mwisho nadhani litakuwa taifa la ombaomba...
 
Kwani wewe hujawahi kuomba kitu au msaada?

Mtuache.

Sent from JamiiForums

Huo sio msaada hii ni kuongeza ombaomba mijini na vijijini hakuna kuwapa hata mia wala rushwa wakubwa kila gari wanaomba maji sasa sijui hayo maji wataoga au kunywa..kuna mmoja aliniomba maji nilikuwa na maji siti ya nyuma nikamwambia ingia chukua chupa moja akachukia kabisa nikamwambia rudisha akarudisha nikasepa...
 
polisi wengi wana njaa kali sana, ndio maana wanadharirika na rushwa ndogo za elf 2.
imeshakuwa tabia hawawezi kuacha.

Usidanganywe hawa watu wanapesa nyingi sana, fikiria kila gari anaomba buku 2. Ok hawezi kupata magari yote ila mpaka jioni hakosi kumi mpaka kumi na tano sasa wengi wao wanavikundi vya kupeana pesa emagin wakiwa 30. Wakawa wanampa mmoja wao kila siku je hawa nimaskini?????
 
Back
Top Bottom