Umenikumbusha kuna jamaa yangu mmoja hivi alibadilishana na dem mmoja hivi wa chuo kimoja hapa jijini,wakakubaliana wakutane sehemu moja hivi,yule dem alikuja na wenzake 4 na jumla wakawa watano
Jamaa aliagiza bia yake na kuanza kunywa na wale madada nao waliagiza na kuanza kunywa vinywaji vya bei kubwa sana na kuagiza na kuku mzima mzima kila mmoja,jamaa alikuwa anawaangalia tu
Walipoletewa jamaa alimalizia bia yake na kwenda kulipia kinywaji chake na kile cha muhusika lakini hakulipia ile kuku aliyokula mhusika na baada ya hapo alitoka kama anakwenda chooni na kuwaacha pale pale wakiendelea kula na kunywa
Baada kama ya nusu saa mhusika alikuwa anampigia simu jamaa na hakuwa anapokea na kama akipokea alikuwa haongei kabisa,kesho yake alimpigia simu tena na jamaa alipokea na dem alianza kutoa maneno ya kashfa a jamaa alimuuliza kama amemaliza na kukata simu
Hao madema dawa yao ni hiyo tu,kama hawali hizo kuku huko wanakoishi wasitugeuze sisi kama ndio wa kutoa tu bila hesabu
Nyambaf zao!!!!!!!!!!