Qualifier
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,253
- 403
Watu kama hawa ni malimbukeni ni upuani mtu umekaribishwa halafu unakuja na kundi la watu mimi iliwahi nitokea gf wangu aliniomba nimsaidie hea kwa ajili ya kulipia kodi ya nyumba nikamwita aje achukuea hela pale Marangu Park yeye akaja na marafiki zake watatu matokeo yake nikatumia fedha nilizo mtengea zikabaki kido na ndizo nilizo mpa kwa kumwambia ukweli kuwa kiasi kingine nimenunulia vinywaji vya rafiki zake na sinta kuwa na hela tena mpaka mwisho wa mwezi