Tafuta Bwana akutoe stressNilikuwa ni mtu wa kucheka na kufurahi na wezangu ila wiki lililopita nikajikuta spendi kucheka wala kufurahi tena wala sikuhitaji mtu aniongeleshe zaidi ya kuwa busy na mambo yangu naishi kwenye mkusanyiko wa watu means nipo shule yani hili wiki ni la kutopenda disturbance yoyote na sijui lini ntarudi kama awali nimejikuta spendi kuongea ongea na mtu tena naona kama wanajisikia vibaya na kuisi kama kuna kitu wamefanya juu yangu lakini hamna kitu ni Mimi tu nimeamua kukaa kimya shida tunalala room moja nawapa shida sana na ninajikuta kutoweza jilazimisha kuongea ongea ata mtu akianzisha kitu namsikiliza tu ata simsapot badae ataamua tu kukaa kimya
Kwanini ucheche cheke hovyo bila kuvaa barakoa?Shule zimefunguliw au hujui
SorryKwanini unazungukwa na watu kipindi hiki cha mlipuko wa COVID 19?
Yani hata Idi Amin na Hitler tukiwaongelea negatively hutapenda ku associate nasi?Mimi nime develop tabia kutopenda ku associate na watu wenye kupenda kuongelea watu negatively
Yani hata Idi Amin na Hitler tukiwaongelea negatively hutapenda ku associate nasi?
Basically spend ku associate na back bittersYani hata Idi Amin na Hitler tukiwaongelea negatively hutapenda ku associate nasi?
Kwa majibu ya huku...utaona bora hata hao uliowakimbia😅Sorry